Video: Tekno ameshafika Dar es salaam Dec 29
Mkali wa hit singo ya Duro ambaye asili yake ni Nigeria Tekno tayari ameshawasili Bongo kwaajili ya kufanya show ya funga mwaka 2015. Hapa nimekusogezea video akiwasili uwanja wa ndege na alivyoyajibu…
Kama hujawahi kuiona, hii ndio video ya magoli ya mashuti ya mbali yaliowahi kufungwa katika Ligi Kuu Uingereza
Mtu wangu wa nguvu najua ni nadra sana kuona mchezaji soka akifunga goli kwa shuti la mbali, hili ni tukio ambalo hutokea katika mechi mara chache, magoli ya mashuti ya…
Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!!
Ikiwa bado tunaelekea katika kipindi cha dirisha dogo la usajili la mwezi January kwa vilabu vya barani Ulaya, bado zile headlines za kocha huyu ataenda huku na mchezaji huyu ataenda…
Makubwa mengine ya Enock Bella wa Yamoto Band ni haya…yanahusisha pilipili na maji
Enock Bella ni mwimbaji wa bandi ya Yamoto kutoka kwenye mikono ya mkubwa na wanae kundi linavijana wanne kila mmoja na kionjo chake cha sauti, usidhani ile sauti ya Enock…
Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 30 kwa mchezo mmoja wa kiporo kumaliziwa katika dimba la Azam Complex Mbande Chamazi. Huu ni mchezo ambao ulikuwa unakutanisha timu…
Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio)
Ishu ilianza kwenye mtandao wa Instagram ambapo Mr. Blue alipost kwamba amesikia kuna watu wanajiita simba akati yeye alijiita jina hilo kwa sababu ya style yake ya kuchana. Blue amesema…
Tekno wa Nigeria kathibitisha Kolabo za Watanzania hawa watatu….
Hit Maker wa singo ya Duro kutoka Nigeria Tekno leo ametaja Wasanii wa Kitanzania ambao tayari ameshafanya nao kolabo ambao hajui lini nyimbo hizi zitatolewa rasmi. Kwenye interview yake na…
Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi..
Nafasi ya muziki kwa sasa imekua kubwa sana kiasi kwamba wasanii wetu wa Tanzania mbali na kutotoa album tena lakini wamekua na nafasi ya kuuza singo moja moja, mitandaoni na…
Mbunge wa Monduli alivyokabidhiwa mikoba ya kazi na wazee wa Kimasai !! (+Picha)
Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano Tanzania tayari wameapishwa kwa asilimia kubwa, wachache waliobaki ni wa kutoka maeneo ambayo Uchaguzi Mkuu ulisogezwa mbele kwa sababu mbalimbali. Kama ulidhani kazi…
Stori za 255 zilizobeba uzito wa mwaka 2015 >> Daz Baba, B Hitz, Stereo na Cyril.. (+Audio)
Leo 255 inasimama na baadhi ya stori ambazo ziligusa vichwa vya habari kwa mwaka 2015... ilikuwepo ishu ya uzushi wa Daz Baba kuonekana ana hali mbaya na anaonekana ni mgonjwa…