Nay Wa Mitego – “Sifikirii ku-shoot video South Africa kwa sababu hii.”
Nay Wa Mitego au Mr 966 kama anavyopenda kujiita leo Nov 23 ametoa video yake mpya inaitwa 'Nyumbani Kwetu'. Akipiga story na millardayo.com Nay wa Mitego amesema kwamba kwa sasa…
Mengine kutoka Mahakamani baada ya CHADEMA kuzuiwa kuaga mwili wa kiongozi wao Mwanza.. (+Picha)
Kulikuwa na stori zikichukua nafasi kila siku kwenye vyombo vya habari kuhusu ishu ya viongozi na wanachama wa CHADEMA kuzuiwa kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Geita, Alphonce Mawazo.…
Majibu ya Ikulu kuhusu CT Scan na MRI, wizi wa dawa za Serikali, safari za nje Je?..
Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue leo alifanya ziara katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikiwa ni muendelezo baada ya Rais Dk. MAGUFULI kufanya ziara ya kushtukiza. Baada ya kutembelea maeneo…
Zidane kajibu kuhusu kurithi nafasi ya Benitez Real Madrid, Rais wa klabu hiyo huenda akafanya maamuzi magumu Nov 23…
Bado headlines za Real Madrid kufungwa goli 4-0 katika uwanja wake wa nyumbani wa Santiago Bernabeu dhidi ya wapinzani wao wa jadi FC Barcelona zinzazidi kuchukua nafasi, mchezo huo wa…
Vioja vya jamaa waliowahi kuvamia mechi za soka, wengine walikatisha bila nguo uwanjani.. !! (+Video)
Najua umewahi kukutana na vioja kwenye maeneo mbalimbali, na hata ukikutana na headline ya story ya vioja kwenye soka moja kwa moja inawezekana ni Makocha, mashabiki, marefa, au hata wachezaji…
Shaa ametaja list yake ya Top 5 Most Fashionable Celebrities kwa hapa Tanzania.
Sarah Kaisi a.k.a Shaa leo Nov 23 anaingia kwenye headlines kutokana na video yake mpya inaitwa Toba ambayo itatoka leo. Mara nyingi Shaa amekua akisifiwa kwamba yeye ni mmoja kati…
Kwa mapana na marefu fahamu kwa nini Rais MAGUFULI ameondoa sherehe za Uhuru..
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Magufuli ameagiza siku ya sikukuu ya Uhuru, 9 December hakutakua na sherehe za kitaifa na badala yake watu watatumia siku hiyo kufanya…
Watu wenye sura mbaya wamefunikwa na huyu Zimbabwe, kabeba na dola zake 500 za ushindi.. (+Video)
Kama vile ambavyo kuna mashindano ya watu wenye sura nzuri, mvuto, warembo, na mashindano mengine yote tuliyozoea, kuna mashindano ya wenye sura mbaya pia toka Zimbabwe. Jamaa anaitwa Maison Sere,…
Watanzania watatu kwenye The Future Awards Africa 2015 December hii Nigeria..
The Future Awards imetimiza miaka 10 tangu imeanzishwa Nigeria, moja ya story ambayo nilikusogezea siku chache zilizopita ilihusu Watanzania wawili, Patrick Ngowi pamoja na Diamond Platnumz kutajwa kama Mabalozi wa…
#Goodnews mdundo mpya wa Shaa ‘Toba’ kutambulishwa leo kwenye MTV Base!
Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Shaa leo jioni ataziandika headlines kwenye kituo kikubwa cha burudani Africa, MTV Base pale ambapo video yake mpya 'Toba' itatambulishwa kwa mara ya kwanza kwenye…