Mambo matatu ya kufahamu kutoka Simba, kuhusu Mavugo, Hassan Kessy na Kiongera (+Audio)
Klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba imekuwa ikihusishwa kwa mambo kadhaa sasa kuhusiana na dirisha dogo la usajili, wengi wamekuwa wakiitaja Simba kuwa kwa sasa haina mshambuliaji mkali zaidi ya…
DC Paul Makonda na wafanyakazi wa kiwanda cha Urafiki…kilichoamuliwa ni hiki!!
Wiki iliyopita wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha urafiki walifanya mgomo kwa madai ya kutolipwa mishahara yao kwa muda mrefu Leo mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda alikutana na…
Adele anaisambaza nyingine kutoka kwenye Album yake mpya, ‘When we were Young’ – (Video)!
Zimebaki siku 3 tu kufikia tarehe 20 November 2015, siku ambayo staa wa muziki wa Pop kutoka Uingereza, Adele atakuwa anaisambaza rasmi Album yake mpya 25... lakini kama wewe ni…
Kwenye show za Adele kukutana na dancers itakuwa ngumu sana kwa sababu hii!
Ni kawaida kwa wasanii wa muziki wa Pop R&B, na muziki wa Pop kwa ujumla kutumia dancers wakiwa kwenye live performances au kwenye matamasha mbalimbali ya muziki, na sababu kubwa…
Baada ya Harambee Stars kukwama Airport, Victor Wanyama alishauriwa hivi na klabu yake ya Southampton
Usiku wa November 16 wachezaji wa kikosi cha timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars walikwama uwanja wa ndege wa Wilson Kenya baada ya wamiliki wa ndege Skyward Express Limited kugoma kuruhusu…
#Goodnews Vanessa Mdee kuingia studio na mkali huyu wa muziki kutoka Nigeria!
Baada ya kushinda tuzo ya AFRIMA 'Best African Pop' nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ameamua kuingia tena studio kufanya kile anachojua kufanya kwa ubora zaidi... kutengeneza muziki…
Picha za Spika Job Ndugai alivyoapishwa Dodoma leo na kiapo chake (+Audio)
Mbunge wa Kongwa Job Ndugai leo amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Bunge la 10 huku Anna Makinda…
D’Prince, Don Jazzy kwenye ngoma yao mpya…Official Video ‘Bestie’
Mastaa wa Nigeria D'Prince na Don Jazzy wameamua kufanya kazi pamoja na kuachia video ya ngoma yao mpya 'Bestie'. Video imeandaliwa chini ya Mavin Records. Karibu uitazame hapa... https://www.youtube.com/watch?v=Pw9BzvQtHas …
Ja Rule alishawahi kutoa zawadi hii ya promotion ili wimbo wake upigwe redioni na kwenye Club!
Imekuwa biashara ya kawaida kwa wasanii wa muziki kupromote ngoma zao kupita mitandao ya kijamii ili kutengeneza attention na hamu kwa mashabiki kupokea kile kipya kutoka kwao. Lakini kabla ya…
Rick Ross anaisogeza nyingine mpya, ‘One of Us’ feat Nas – (Audio)
Baada ya kuiweka wazi traclist nzima ya Album yake mpya Black Market, Rick Ross amerudi tena kuziweka headlines kwenye kurasa za burudani na single yake mpya 'One of Us' featuring…