Justin Bieber anazisogeza zote 13 kutoka kwenye Album yake mpya ‘Purpose’ – (Videos)!
Miaka miwili iliyopita, December 2013 Beyonce Knowles aliachia Album yake iliyopewa jina BEYONCE kisiri siri, Album ambayo pia ilisindikizwa na suprise music videos ya kila single iliyokuwa inapatikana kwenye Album…
Diamond Platnumz & Vanessa Mdee kwenye headlines za AFRIMA Awards 2015, Orodha kamili ipo hapa! (+Pichaz)
Kwenye headlines za burudani weekend iliyopita zilikuwa ni tuzo za muziki za All African Music Awards 2015 maarufu kama AFRIMA Awards zilizokuwa zinatolewa usiku wa jumapili (November 15) Lagos, Nigeria…
Kauli ya Mwakyembe, LOWASSA, mauaji ya M’kiti CHADEMA….#MAGAZETINI NOV.16
MTANZANIA Mbunge mteule wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe (CCM) amesema waziri mkuu wa Serikali ya awamu ya tano atatokana na uteuzi wa Rais Dk. John Magufuli na kuinidhishwa na Bunge…
Alikiba alivyonogesha stage ya ‘Koroga Festival’ na watu wake Nairobi Kenya.. (+Pichaz)
Tunazihesabu siku chache tu toka mastaa wawili waliojivisha vyeo vya Ufalme, Alikiba a.k.a 'King Kiba' na Christian Bella a.k.a 'King of the Best Melodies' waachie ngoma ya 'Nagharamia. November 15…
Tayari ninazo #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania November 16, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
CCM na majina ya Uspika, Baraza la Mawaziri?, kauli ya Lowassa + moshi wa Feri Ikulu? #PowerBreakfast.
Asubuhi yako inaendaje mtu wangu? Inawezekana uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita, kama hukuzipata zote zilizosikika kwenye kuperuzi na kudadis nilizozirekodi zote ziko hapa unaweza kuzipitia kufidia zilizokupita. Kamati kuu ya…
Magazeti ya Tanzania November 16 2015 kwenye kurasa za mbele na za nyuma yameanza na hizi leo..
Leo November 16 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Edinson Cavani na David Luiz wamegoma kurejea PSG, hii ndio sababu yao …
Beki wa kimataifa wa Brazil anayekipiga katika klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa David Luiz pamoja na mchezaji mwenzake anayeichezea klabu hiyo na timu ya taifa ya Uruguay Edinson…
Video: Behind the scene ya Avril Ft. Ay ‘no stress’ iliyofanyika Dar
Avril mwimbaji kutoka Kenya alikuja Tanzania kufanya video yake ya kwanza na Director wa Kitanzania Hanscana kwenye jiji la Dar es salaam na ndani ya single hii mpya 'no stress' yuko…
Duu!!! Kama Taifa Stars wakiifunga Algeria, wachezaji watavuta mkwanja mrefu, hili ndio dau watakalopewa …
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars bado haina hali nzuri sana ya kujihakikishia inashinda mchezo wake wa marudiano dhidi ya Algeria, baada ya mchezo wa kwanza uliyochezwa November 14…