Hapa ni Christian Bella pembeni mkongwe Koffi Olomide ndani ya studio.. Kitu kipya?
Kama umekuwa karibu na mtandao wa Instagram utakuwa umeshuhudia mastaa wengi wakipost vipande vya video ya wimbo mpya wa Koffi Olomide unaoitwa 'Selfie'. Koffi ni mkongwe wa muziki toka Congo,…
Malaika wa ‘Sare’ amekuja na kitu kingine cha nguvu, hii ndio ‘Zogo’ yenyewe.. (Video)
Malaika ni moja ya warembo mastaa wa kike wachache waliobahatika kuziteka headlines za muziki TZ kwa mwaka 2015, ukisikiliza ngoma ya 'Sare' - Malaika Feat. Mesen Selekta utakubaliana na mimi…
Rais Magufuli kashtukiza tena na leo kwa ziara ya ghafla…
Headlines kwenye vyombo vya habari na mitandaoni kuanzia Ijumaa November 6 2015 siku ya kwanza ya Rais Dk. John Pombe Magufuli Ikulu, zilibebwa na stori ya ziara ya kwanza ya kushtukiza…
Kuelekea countdown ya birthday yake, Davido ameamua kujizawadia ndinga hii mpya! (+Pichaz)
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Davido anazidi kuonyesha uwezo wake wa kuchop money kadri siku zinavyoenda... zimebaki wiki kama mbili kufikia tarehe 21 Novembeer 2015, siku ya kuzaliwa kwa Mkurugenzi…
Kama kuna hukumu za kushtua iko na hii, miaka 885 jela !! Kisa..? Stori na video yake..
Najua tumeshawahi kukutana na stori kuhusu hukumu za kifungo cha miaka kadhaa mpaka 30 jela, au wengine wanahukumiwa kifungo cha maisha baada ya kufanya makosa mbalimbali... lakini kuna hukumu ambazo…
Kama unazikubali kali za Davido, ipokee na hii nyingine mpyampya.. ‘The Money’ Feat. Olamide (Video)
David Adedeji Adeleke a.k.a Davido ni staa mwenye headlines zake za nguvu toka Nigeria..!! Ukali wake ameuthibitisha kwenye midundo mingi sana aliyofanya yeye mwenyewe na nyingine kali za collabo na…
Wasanii na matumizi yao ya pesa, haya ndio malipo ya kinyozi wake Kanye West kwa mwaka!
Siku zote rapper na Mkurugenzi wa lebo ya G.O.O.D Music, Kanye West amekuwa akionekana kama mtu mkorofi mwenye maneno mengi. Lakini wengi wetu tunaujua upande mmoja tu wa Kanye West,…
Baba wa kichina alivyodakwa na Selfie stick kwenye bafu la wanawake Beach !!
Hii ishu inamtaja raia wa China, Xia Liang mwenye umri wa miaka 36 kwamba ndio haswa mtuhumiwa wa kesi ya kuingia bafu la wanawake na selfie stick, lengo lake ni…
Hizi hapa #Tweets zilizogusa stori zote kubwa kwenye headlines za Magazeti 12 Tanzania leo..
Najua huenda kuna stori kubwa zilizobeba headlines Magazetini zimekupita, nilichokifanya ni kugusa stori zote nje na ndani ya Magazeti 12 ya Tanzania, nimeziweka kwenye #Tweets na nimezikusanya pia zote hizi…
Ni kweli Yanga imemsajili Hassan Kessy wa Simba? Haji Manara ana majibu haya …
Nyota ya beki wa pembeni wa klabu ya Simba SC Hassan Ramadhani Kessy inazidi kung'aa ikiwa ni siku kadhaa tu toka aitwe kwa mara ya kwanza katika kikosi cha timu…