Ziko hapa picha 10 za Dr. Magufuli akiwa Ikulu baada tu ya kutangazwa mshindi wa Urais
Ni siku ambayo tayari historia imeandikwa kwenye vichwa vya Habari za Siasa Tanzania ambapo Dk. John Pombe Joseph Magufuli ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha Urais kwenye Uchaguzi mkuu uliofanyika…
Full video ya Dr. Magufuli alivyotangazwa mshindi wa urais Tanzania 2015
Video yote unaweza kuitazama kwa kubonyeza play hapa chini... https://www.youtube.com/watch?v=i5xnA4ENbJQ
Full Time ya JKT Ruvu Vs Azam FC na matokeo ya mechi nyingine za Ligi Kuu October 29 (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea tena leo October 29, hii ikiwa ni siku moja imepita toka tushuhudie michezo sita ikichezwa Jumatano ya October 28. Leo October 29 zimepigwa mechi…
Wakati Dr. Magufuli katangazwa mshindi Urais, haya yametoka kwa Edward Lowassa.
https://www.youtube.com/watch?v=1sv_IfkDWeY Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika 'AYO' tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio…
Kuanzia wa kwanza mpaka wa mwisho… asilimia mpaka idadi ya kura za matokeo yote ya Urais 2015 Tanzania
Dr. John Pombe Magufuli wa (CCM) ametangazwa mshindi wa kiti cha urais kutoka kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 ambapo ameongoza kwa zaidi ya asilimia 50, matokeo kamili ndio haya…
Edward Lowassa mbele ya waandishi wa habari baada ya matokeo ya Uchaguzi
'Leo tarehe 29, October 2015 kupitia Mgombea mwenza Mh, Juma Duni Haji aliwasilisha rasmi malalamiko kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya…
Idris kajibu haya kuhusu picha za Wema na jamaa wa Big Brother… U Heard (+Audio)
Kuna pichaz ambazo zimesambaa mitandaoni zinazowaonesha mrembo Wema Sepetu na Luis Munana ambaye ni mshiriki wa Big Brother wanaonekana kama watu ambao wana uhusiano wa kimapenzi. Soudy Brown anasema amewatafuta Wema…
BREAKING: Dr. Magufuli ametangazwa mshindi kiti cha Urais Tanzania, list yote na asilimia viko hapa
October 29 2015 ndio siku yenyewe matokeo ya Urais kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 yametangazwa ambapo Dr. John Pombe Magufuli (CCM) ndio ametangazwa mshindi akiongoza kwa asilimia 58,…
TBT: Picha za zamani za Chanongo, Ndemla, Tegete, Chuji, Manyika Jr. na Himid Mao
Tumezoea kuona siku ya Alhamisi watu wengi hutumia siku hii kuweka TBT pichaz zao katika mitandao ya kijamii, mtu wangu wa nguvu kila wiki nimekuwa nikikuwekea TBT pichaz za mastaa kadhaa…
Ni headlines juu ya headlines! Chege yuko South Africa katika maandalizi ya video yake mpya…(+Audio)
Ni stori kuhusu bongofleva na headlines zake nje ya mipaka ya Tanzania ambapo time hii ni ya Chege akiwa yuko Afrika Kusini katika maandalizi ya video ya single mpya iitwayo…