Ukweli kuhusu milipuko iliyokutwa ndani ya gari la Mgombea Ubunge (Chadema) taarifa kamili iko hapa…
Mwanzoni mwa wiki hii kuna taarifa zilienea katika mitandao ya kijamii kwamba gari la Mgombea ubunge kupitia chadema Musoma Vicent Nyerere lilikutwa na milipuko wakati akifanya mkutano wa hadhara katika…
Shauri la kukaa mita 200 baada ya kupiga kura, wakili Peter Kibatala kazungumza..(Audio)
Ni headlines baada ya headlines inawezekana ulikuwa na maswali mengi kuhusiana na kauli ya tume ya Uchaguzi kuhusu kusimama mita 200 pale unapomaliza kupiga kura siku ya tarehe 25, 2015.…
Real Madrid kwenye headlines ya vilabu tajiri barani Ulaya …
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA October 21 wametangaza vilabu tajiri barani Ulaya baada ya kufanya utafiti kuhusu utajiri wa vilabu wanachama wa shirikisho hilo. October 21 mitandao kadhaa ya…
Full Time ya Tanzania Prisons Vs Simba October 21 (+Pichaz)
Klabu ya Simba ambayo Jumamosi October 17 ilicheza na klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya katika mchezo ambao Simba hawakuwa na rekodi nzuri dhidi ya Mbeya City kwani ilikuwa…
Full Time ya Yanga Vs Toto African na matokeo ya mechi nyingine za Ligi Kuu October 21 (+Pichaz)
Ligi Kuu Tanzania bara imeendelea tena leo Otcober 21 kwa timu 10 kushuka uwanjani kuwania point tatu muhimu, point ambazo zitaisadia kila timu kuwa katika nafasi nzuri katika msimamo wa…
Kwenye U Heard leo ni Soudy Brown na Barakah Da Prince kuhusu mapenzi.. (Audio)
Soudy Brown leo yuko na story ya Barakah Da Prince, ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yoyote? Barakah amesema hana uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yoyote, aliwahi kuwa na uhusiano…
R. Kelly anaisogeza kwetu official video ya mdundo wake mpya; ‘Backyard Party’ – (Video).
Mara ya mwisho tumemsikia R. Kelly ilikuwa miezi michache iliyopita ambapo msanii huyo wa R&B aliachia single yake ya 'Backyard Party' wimbo uliofanya vizuri kwenye chati mbalimbali za muziki Marekani...…
Collabo mpya ni Barnaba Feat. Jose Chameleone !! Show za WaTZ Marekani je? Story kwenye Audio (#255)
Najua kila mmoja ambaye amekuwa akiisikiliza Bongo Fleva kwa kitambo hivi atakuwa ameshuhudia mastaa kibao wakivuka border na kupiga show nje ya TZ, kama Marekani na kwingineko.. kwani Muziki wa…
Hekaheka na stori ya mtoto mdogo aliyeuzwa laki moja Dar.. (+Audio)
Najua kuna wafuatiliaji wa stori za Hekaheka kwenye show ya Leo Tena @Clouds FM... ya leo ni mwendelezo wa kisa cha siku nyingi ambacho kiliwahi kusikika kuhusu ishu ya mwanamke…
Hii ndio list ya Viwanja 10 vya Ndege vilivyo kwenye hali mbaya zaidi Duniani mwaka 2015
Usafiri salama zaidi namba moja Duniani ni Usafiri wa anga, YES.. lakini kuna umuhimu pia kujua Wasafiri wa anga wanachukuliaji mazingira ya huduma za usafiri pamoja na viwanja vya Ndege…