Usain Bolt kwenye headlines moja na Steven wa Yanga ? mrembo huyu kasabisha (+Pichaz)
Mwanariadha wa kijamaika ambaye amewahi kutajwa kama moja kati ya viumbe vyenye kasi zaidi duniani Usain Bolt ameingia kwenye headlines kisa mrembo Patty Lopez de la Cerda, mwanariadha huyo aliwahi kuweka rekodi…
Baada ya Liverpool kumtimua Brendan Rodgers huyu ndio kocha wao mpya (+Pichaz)
Ikiwa zimepita zaidi ya siku kadhaa toka klabu ya Liverpool ya Uingereza imfukuze kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Brendan Rodgers, kulikuwa na stori za makocha kadhaa kurithi nafasi hiyo…
Umewahi kuona pichaz za utoto za Neymar, Hazard, Terry, Hamilton na Lewandowski? Ninazo hapa mtu wangu
Kabla haijaisha siku ya Al-hamis ya October 8 naomba nikuletee TBT pichaz za wakali kadhaa wa michezo, maisha kuna kupitia vitu vingi, hivyo sio vibaya nikikuletea TBT pichaz za wale…
Hii ndio Bukoba mtu wangu, pichaz za leoleo kujionea uzuri wake toka juu…
Ripota wa millardayo.com ametua Bukoba leo October 08 2015, najua kuna watu wangu wa nguvu wako nje ya TZ na wanaisikia Bukoba.. najua nna watu wangu wengine ni WaTZ ila…
Pichaz Rais JK alivyosherehekea Birthday na Wajukuu zake… (+Pichaz)
Happy Belated Birthday Mr. President, Dk. J.M Kikwete !! Kama ilikupita basi naomba nikufikishie taarifa kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Kikwete jana October 07 2015 ndio…
Masaa machache baada ya kusimamishwa..huyu ndiye kiongozi mpya wa FIFA!!
Masaa machache baada ya Rais wa FIFA Sepp Blatter kusimamishwa kuliongoza shirikisho hilo, kiongozi wa shirikisho la soka Afrika Issa Hayatou kutoka Cameroon amepewa jukumu la kuongoza shirikisho hilo kwa…
Kwenye beef ya Meek Mill & Drake, Rick Ross yupo upande wa Meek Mill, kwanini? + (Video).
Rick Ross ameitembelea tena studio ya Power 105.1 Radio lakini safari hii ilikuwa kwa ajili ya interview na mmoja kati ya presenters wakubwa wa radio Marekani, Angie Martinez... Kwenye interview…
Magereza yamejaa Marekani.. Hawa ndio wafungwa ambao imebidi waachiwe huru..!!
Idara inayohusika na Masuala ya Sheria Marekani iko kwenye mpango wa kurekebisha Sheria pamoja na kuwaachia huru wafungwa 6,000 baada ya Magereza mengi ya nchi hiyo kuonekana yamefurika Wafungwa kwa…
Inakuaje pale unaposafiri na ndege inayovuja? hii imetokea Nigeria..Video
Utajisikiaje pale unapoamini usafiri wa ndege uliougharamia utakufikisha salama sehemu unayokwenda lakini ukaishia kusafiri kwa kero kutokana na huduma zake? Abiria wa ndege moja iliyokuwa ikisafiri kutoka Abuja kwenda Ilorin Nigeria…
Rapper Chemical kaiba jina la Sister P? wote wamesikika kwa Soudy Brown..#Uheard Audio
Leo Soudy Brown kapiga stori na Sister P, Ni kuhusu malalamiko ya jina lake 'Chemical' kutumiwa na rapper mpyaambaye naye anajiita Chemical . Amesema alianza kutumia ilo jina tangu mwaka 2003 na alipewa na…