Lowassa, Magufuli na TANESCO, UN & Uchaguzi, Familia ya Mtikila + bei ya Petroli, Diesel? #PowerBreakfast.
Uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita? Ninazo hapa chini baadhi ya stori zilizoweka headlines kwenye kurasa za magazeti Tanzania leo 7 October 2015, kama zilikupita unaweza ukacheki na hizi nyingine kufidia.…
Becka Title na ‘Unataka Nini’ ndani kamshirikisha Bui Bui…Video
Becka Title karudi kwenye headlines za burudani baada ya kauchia ngoma yake mpya 'Unataka Nini' ndani akiwa kamshirikisha msanii mwenzake Bui Bui. Video hiyo imeongozwa na All Stars, karibu uitazame…
Magazeti ya Tanzania Octoba 7, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Octoba 7, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Picha za Kocha wa Ecuador na baiskeli uwanjani japo kaumia.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri katika somo la sayansi shule ya msingi kuna kitu kilikuwa kinaitwa mashine tata yaani kwa maana yake kwa lugha rahisi ni kitu chochote chenye uwezo wa kurahisisha…
Pichaz 20 kutoka kwenye mkutano wa Mgombea Urais wa CCM John Magufuli Arusha October 6.
Ziara za wagombea nafasi za Urais kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania bado inazidi kuchukua kasi,upande wa Chama Cha Mapinduzi na mgombea wake John Magufuli leo walikua wakizungumza na wapiga…
Izzo Bizness ametuletea hii single mpya akiwa na G Nako & Mwana FA isikilize hapa
Rapper kutokea Mbeya City, Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness time hii ametuletea hii single mpya iitwayo Shem Lake amewashirikisha G Nako na Mwana FA. Isikilize hapa mtu wa nguvu kisha usisahau…
Mabadiliko mengine ya Miss Tanzania 2016 yametangazwa..
Mrembo Jokate Mwegelo aliteuliwa kuwa msemaji ramsi wa shindano la Miss Tanzania baada ya shindano hilo kupewa msamaha na BASATA baada ya kufungiwa toka mwishoni mwa mwaka 2014. Kubwa ambalo…
Dk. Kigoda hajafariki… Mwamunyange hajapewa sumu, haya ndio majibu ya Serikali… (Audio)
Kama utakuwa mfuatilia hivi karibuni kumekuwa na taarifa zinazoenea na kuchukua nafasi kubwa katika mitandao mbalimbali ile ya Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda kufariki na ile ya …
Rick Ross anaisambaza rasmi single yake mpya ‘Sorry’ feat. Chris Brown – (Audio)!
Baada ya kufanya interview na The Breakfast Club leo, rapper Rick Ross ameachia single yake mpya 'Sorry' ambayo ndani msanii wa R&B Chris Brown ameshirikishwa, wimbo utakaopatikana kwenye album mpya…
Huyu ndio mtoto aliyezaliwa na kuvunja rekodi ya kuwa na uzito mkubwa zaidi India..
Kwenye Kitabu cha Kumbukumbu kubwa za Dunia, Guinness World Records kumbukumbu kubwa kuwekwa na mtoto aliyezaliwa na uzito mkubwa zaidi iliwekwa mwaka 1955 na mtoto ambaye alizaliwa akiwa na uzito…