Baada ya kushuka mara kadhaa katika viwango vya FIFA, Tanzania yapanda kwa nafasi hizi…
Tanzania kwa miezi ya hivi karibuni ilitangazwa kushuka katika viwango vya FIFA kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu katika mechi kadhaa, ikiwemo katika mechi za kuwania kufuzu kucheza michuano ya…
Omarion ataja jinsia ya mtoto wake wa pili anayemtarajia..
Mwimbaji wa R&B Omarion na girlfriend wake wa siku nyingi Apryl Jones wanatarajia kupata mtoto wa pili hivi karibuni. Wawili hao ambao ni wazazi wa mtoto mmoja wa kiume aitwaye Megaa…
Neymar kaingia kwenye matatizo tena na Serikali ya Brazil, safari hii na gari lake limekamatwa..
Staa wa Soka, mkali mwingine toka Brazil ambaye anachezea Klabu ya Barcelona hii sio taarifa nzuri kwake, wafatiliaji wa mambo wanasema inafanana kabisa na ishu ambayo aliwahi kuhusishwa nayo pia…
Patoranking kashirikishwa kwenye hii Video ya ‘Pretty Girl’ ya Yung Brown..
Hitmaker wa 'My woman, my Evething' Patoranking amerudi kwenye headlines za burudani baada ya kushirikishwa kwenye ngoma ya 'Pretty Girl' ya Yung Brown kutoka pande za Nigeria. Video hiyo imesimamiwa…
TBT pichaz za utoto za Ryan Giggs, Frank Lampard na Sergio Aguero zipo hapa mtu wangu…
Kama ambavyo tumezoea kuona mastaa wa tasnia mbalimbali siku ya Alhamisi hupendelea kuweka picha zao za zamani katika account zao za mitandao ya kijamii. Mtu wangu wa nguvu Alhamisi ya…
Hii mpya ya Chui kunasa kwenye chungu cha maji huko India isikupite…(Video)
Hii imetokea jana huko katika vijiji vya Kaskazini mwa India baada ya chui kuvamia..katika pitapita alikutana na maji yaliyokuwa ndani ya chungu na kuanza kunywa lakini alishindwa kutoka ndani ya…
Baada ya kucheza faulo uwanjani na kumvunja mguu mchezaji wa timu pinzani, amehukumiwa kwenda jela..
Stori nyingi na matukio mengi tumewahi kuyasikia na kuyaona yakitokea uwanjani kama wachezaji kuvunjana miguu, kuanguka na kupoteza fahamu wakati mwingine hata kupoteza maisha uwanjani. Matukio yote hayo tumekuwa tukiyaona yakimalizika…
Runtown kwenye fainali za BSS, Tundaman na muziki wa TZ, mauzo Mixtape ya Zaiid na P The Mc je?..#255
Fainali za BSS zitafanyika ijumaa ijayo Oktoba 9..Mkurugenzi wa fainali hizo Madam Rita Paulsen amezungumza kwenye 255 leo na kusema msanii Runtown kutoka Nigeria atatumbuiza katika fainali hizo, wasanii wengine…
The Game na Kanye West wanaileta kwako ‘Mula’… (Audio)
Rapper The Game yupo njiani kutoa album yake mpya iliyopewa jina la 'The Documentary 2' na miongoni mwa nyimbo zinazopatikana kwenye album hiyo ni wimbo mmoja utitwao 'Mula' ambao ndani…
Mwendelezo wa watoto waliofanyiwa ukatili Dar na hali ya baba aliyedhalilishwa..#Hekaheka Audio
Kwenye Hekaheka ya leo Geah Habib amezungumzia kuhusu yule mtoto ambaye alikutwa amepigwa sana eneo la Mbezi Beach na kulazwa ICU..mtoto huyo ameruhusiwa kurudi nyumbani lakini hali yake bado si…