Video mpya: Don Jazzy kashirikishwa na Tolu >>> ‘Ifemi’
Don Jazzy baada ya kufanya vyema katika single zake, karudi tena kwenye headlines za burudani baada ya kushirikishwa kwenye collabo ya 'Ifemi' na msanii Tollu kutoka Nigeria. https://www.youtube.com/watch?t=30&v=JdWVUYbBnEk&hd=1 PAPO…
Luke Shaw na Van Gaal wamekatisha mpango wa beki huyu wa Man United kuhamia Monaco.
Beki wa kimataifa wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Argentina Marcos Rojo amesitisha mpango wake wa kwenda katika klabu ya Monaco baada ya kukaa na kufanya mazungumzo…
Wanawake weusi wanaoingiza pesa nyingi zaidi duniani kwa mwaka 2015 !
Katika list ya jarida la Forbes ambalo mara nyingi hutoa list ya watu na pesa zao, Mtangazaji wa TV Mmarekani Oprah Winfrey alishikilia nafasi ya kuwa mwanamke mwenye kipato kikubwa…
Kumbe Ryan Giggs sio mbadala wa Louis van Gaal!!! huyu ndio anatajwa kuchukua nafasi yake 2017.
Baada ya kocha wa sasa wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal kusema kuwa mipango yake ya kustaafu soka baada ya miezi 18 ijayo iko pale pale, wengi walianza…
Mechi sita, kashinda mechi mbili, kafungwa tatu na sare moja, mipango ya Mourinho ipo hapa..
Baada ya kuanza vibaya kwa Ligi Kuu Uingereza kwa upande wa klabu ya Chelsea, kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho inaripotiwa kuanza mipango mbadala ya kuimarisha kikosi chake, Chelsea ambayo…
Headlines nyingine ya Picha ya Selfie iliyosababisha kifo cha mtalii huyu…
Matukio ya watu kupoteza maisha au kujidhuru wakati wakijipiga picha wenyewe, maarufu kama Selfie yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara. Mwezi Mei mwaka huu, headlines zilikuwa Moscow baada ya mwanamke mmoja…
Iyanya anatukaribisha kuitazama video yake mpya ‘Okamfo’ Feat. Lil Kesh..
Kwenye ile album mpya 'Applaudise' ya staa wa Nigeria Iyanya, ameachia video ya ngoma yake mpya 'Okamfo' akimshirikisha Lil Kesh. Karibu uitazame hapa mtu wangu... https://www.youtube.com/watch?v=pvyHtasYNvs&hd=1 PAPO KWA PAPO…
Magazeti ya Tanzania Septemba 20, 2015.. Michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Septemba 20, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Michezo na Hardnews, zote ziko…
Matokeo ya Man City Vs West Ham United yapo hapa (+Pichaz&Video)
Klabu ya Manchester City ya Uingereza September 19 imeikaribisha klabu ya West Ham United katika uwanja wake wa nyumbani Etihad kucheza mechi ya muendelezo wa Ligi Kuu soka Uingereza... Man City ikiwa…
Edward Lowassa alikua Bukoba leo… pichaz za ilivyokua ndio hizi.
Umati wa Wananchi wa Mji wa Bukoba ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Aghakhan kuhudhulia Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo…