Orodha kamili ya vipengele vyote vya tuzo za MTV EMA’s 2015 imenifikia, isome yote hapa!
Tuzo za MTV Europe Awards 2015 (MTV EMA) haziko mbali sana mtu wangu, tarehe na siku ishapangwa na very soon tuzo hizi zitaruka LIVE kupitia kituo cha MTV Base Channel…
Sababu ya Madee kumpa gari Dogo Janja, mkasa wa Tunda Man, Ngoma mpya ya Q Chilla ina tatizo?…#255 (Audio)
Kwenye zile headlines za burudani leo kuna hii inayomuhusu Madee ambapo juzi alimzawadia Dogo Janja gari katika siku yake ya kuzaliwa, amesema alimpenda sana ukiachilia mambo ya muziki, na aliona…
Kitu kipya kipya toka +254, Stella Mwangi anarudi na hii ‘Chukua Hatua’ kwenye Video kabisa !!
Stella Mwangi ndio jina ambalo linatupa burudani ya kitu kizuri kutoka +254 Kenya kwa siku ya leo, sio mara zote tunahitaji kusikiliza muziki unaohusu mapenzi pekeyake, ziko ngoma kama 'Mwana'…
Jamaa alivyoamua kujichora tattoo list ya mastaa wa soka mwilini, kisa ni love kwa Man City? (Pichaz)
Mpira wa miguu ni mchezo ulioteka hisia za watu wengi katika soka hususani wanaume, imekuwa ni kitu cha kawaida kuona mtu akijichora rangi mwilini mwake kama ishara ya kushangilia timu…
Alisingiziwa ameiba simu ya bosi wake, kilichofuatia ni hiki kwenye #Hekaheka (Audio)
Kila siku Hekaheka imekua ikituletea mfululizo wa matukio mbalimbali ambayo yanatokea kila siku... Kazi ya Team nzima ya Leo Tena @CloudsFM ni kufanya kuyafatilia matukio hayo kila siku ya kuyasogeza…
Cheki majibu ya staa wa movie Nigeria kwa wanaosema ‘hafuati uzazi wa mpango’… (Video)
Maisha ya mastaa yako kwenye macho na masikio ya watu kila wakati.. inawezekana suala la mtu kuwa na watoto wengi au kujifungua mfululizo sio kitu kigeni sana kwa sababu kwenye…
Burkina Faso haina Rais? kuna haya maamuzi ya wanaompinga kiongozi wao wa sasa…
Rais wa Burkina Faso Michael Kafondo amenyang'anywa madaraka ya kuendelea kuiongoza nchi hiyo baada ya kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa Taifa hilo Blaise Compaore. Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi…
Nimekusogezea hii List ya madaraja yaliyovunja rekodi kwa urefu zaidi duniani…Pichaz
Moja ya miundombinu inayorahisisha usafirishaji ni pamoja na uimara wa madaraja, China ni miongoni mwa Mataifa makubwa duniani ambapo uchumi wake unazidi kukua pamoja na miundombinu yake..ndiyo nchi pekee inayoongoza…
Umeusikia mdundo mpya wa OMI..? “Hula Hoop” imenifikia tayari na video yake ninayo hapa! (Video)
Baada ya kutengeneza jina kubwa na ngoma yake ya 'Cheerleader' msanii chipukizi kutoka Uingereza OMI amerudi tena na ngoma nyingine mpya 'Hula Hoop'. Video yake imtetoka tayari, na pengine hii…
Magufuli na M4C, Zitto na JK, CCM na uchaguzi mkuu, majaribio ya faini Tz leo? >>> Stori Kubwa (Audio).
Alhamisi ya tarehe 17 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, na kwenye stori zilizoweka headlines zipo hizi ambazo zimesikika kwenye #PowerBreakfast... Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli…