Tayari ninayo ratiba ya mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya September 15 na 16 …
Baada ya kupangwa kwa makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) siku kadhaa nyuma, September 15 na 16 ni siku ambazo michezo ya hatua…
Licha ya ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Liverpool Louis van Gaal hakiamini kikosi chake…
Kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal ambaye amekiongoza kikosi chake kupata ushindi mnono katika mchezo wa Ligi Kuu Uingereza September 13 dhidi ya Liverpool ameshindwa kuthibitisha ubora wa kikosi…
Sergio Aguero anaukosa mchezo wa kwanza wa UEFA, wachezaji wengine waliorejea Uwanjani hawa hapa..
Klabu ya Manchester City ya Uingereza September 15 inashuka dimbani kucheza mechi yake ya kwanza ya hatua ya makundi ya klabu Bingwa barani Ulaya dhidi ya klabu ya Juventus ya…
Haya ni maamuzi ya Kanye West yaliyomfanya mbunifu huyu wa mavazi kubadili tarehe ya Fashion Show yake…
Rapper wa Marekani Kanye West ambaye ni baba wa mtoto wa kike North West, mtoto aliyempata kwa staa wa kipindi cha Keeping Up With the Kardashians Kim Kardashian, ametangaza kwa…
Ilikupita hii stori ya gari inayopaa mwaka 2009? Nimekuwekea hapa mtu wangu ..(+Pichaz)
September 14 na kusogezea karibu yako na moja kati ya stori nzuri za ukuwaji wa kiteknolojia. Hii ni stori kutoka mymodernmet.com licha ya kuwa ni stori ya muda ila inawezekana…
Maneno mengine ya T B Joshua mwaka mmoja baada ya Jengo la Kanisa lake kuanguka..
Umepita mwaka mmoja sasahivi toka litokee tukio la kuanguka kwa Jengo la Kanisa la Synagogue Church of All Nations Nigeria ambalo linaongozwa na Mchungaji T B Joshua... kuna watu wengi walifariki…
Mpya kutoka kwa T.I imekupita? ‘ Check, Run it’ imenifikia, itazame video yake hapa! (Video)
Baada ya kutengeneza headlines na wimbo wa 'Private Show' aliomshirikisha Chris Brown, T.I amerudi na nyingine mpya wiki hii. Wimbo unaitwa 'Check, Run it' na kama video yake bado haijakufikia…
Ufisadi CCM na UKAWA, CCM Zanzibar, Lowassa na Kikwete, Waislam wa Tz Mecca? (Audio).
Magazeti ya Jumatatu 14 September 2015 yako mtaani tayari kama uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita ninazo hapa zile zote kubwa kwenye vichwa vya habari leo.. Lowassa asema Kikwete ameshindwa kutimiza…
Magazeti ya Tanzania Septemba 14, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu Septemba 14, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Kama yalikupita matokeo ya mechi ya Yanga Vs Coastal Union ya Tanga yapo hapa (+Pichaz)
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Soka Tanzania bara klabu ya Dar Es Salaam Young African September 13 wameshuka dimbani kucheza mechi yake ya kwanza ya Ligi Kuu dhidi ya klabu ya Coastal…