FC Barcelona hali mbaya, Full Time vs Sevilla ninayo hapa kwenye pichaz & video
Bado ni ngumu kutabiri matokeo ya mechi za Ligi Kuu mbalimbali duniani, kutokana na vilabu vingi kuwa vimejiandaa kiasi kwamba zile timu ambazo tunaziona kuwa bora kuliko nyingine huwa zinapoteza…
Justin Beiber atangaza ujio na jina la Album yake mpya…
Zimepita wiki chache toka Justin Bieber aachie ngoma yake mpya 'What Do You Mean' wimbo ambao kwa wiki chache tu umeweza kukamata nafasi ya kwanza kwenye chati ya Billboard Hot…
Madai ya Mikataba ya Madereva, Mishahara, Rushwa barabarani imepata Majibu haya kwa Rais JK.. (+Pichaz)
Uzito wa Matukio mfululizo ya Migomo wa Madereva sio kitu kidogo, kila mtu aliathirika kwa upande wake... haikuwa kitu ambacho Serikali ilikiacha kikaendelea. Kulikuwa na madai mengi ambayo Madereva walihitaji Serikali…
Kama yalikupita matokeo ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara mtu wangu yapo hapa (+Pichaz)
Mechi za Ligi Kuu soka Tanzania bara ziliendelea kama kawaida kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania, licha ya kuwa kuna mechi tatu ambazo zimeharishwa kutokana na wachezaji wake…
Kauli nane za kuchekesha alizowahi kuziongea Zlatan Ibrahimović zipo hapa mtu wangu..
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden ambaye anaichezea klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimović ni moja kati ya wachezaji wenye majibu ya kushangaza wanapofanya mahojiano na vyombo vya habari, Zlatan…
Shabiki hakujali kuwa Ronaldinho kapata ajali wala nini alipofika ni mwendo wa Selfie (+Picha)
Wengi tunamfahamu Ronaldinho kwa uwezo wake mkubwa uwanjani hasa wakati alipokuwa anacheza bara la Ulaya katika vilabu vya FC Barcelona ya Hispania na AC Milan ya Italia. Ronaldinho kwa sasa yupo…
Unaambiwa hawa mastaa sita waliwahi kutua Kenya kimyakimya bila watu kujua… (+Pichaz)
Kuna story huwa zinazunguka mitaani kuhusu ishu ya mastaa kuingia Tanzania.. wanatembelea maeneo mbalimbali alafu wanarudi zao kwao !! Kwenye hizo story kuna za ukweli na nyingine zinatungwa tu mtaani,…
Kocha wa Liverpool kumbe haogopi kufukuzwa !! Wakifungwa je? Kajibu haya…
Klabu ya Liverpool ya Uingereza Jumapili ya October 4 inacheza mchezo wake wa nane wa Ligi Kuu Uingereza dhidi ya Everton, mechi ambayo ni kubwa katika jiji la Liverpool kwani inazikutanisha…
Pichaz kwenye Birthday ya Diamond Platnumz, nyumbani kwake Dar es Salaam..
September 21 2015 story kwenye headlines ilikuwa party ya mtoto Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz na mpenzi wake Zarina Hassan aka Zari the Boss Lady.. party nyingine ilikuwa jana hapohapo…
Picha 6 za Edward Lowassa mbele ya Wananchi wa Babati na Mto wa Mbu Oct 2.
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA Edward Lowassa October 2 2015 alisimama mbele ya Wananchi wa Jimbo la Babati Mjini katika Mkutano wa…