Taarifa ikufikie ya bondia kufariki baada ya pambano kumalizika..
Bondia Davey Browne ambaye ni raia wa Australia amepoteza maisha siku nne baada ya kupoteza fahamu kufuatia kipigo cha 'knock out' katika pambano la ngumi huko Sidney. Mwanamasumbwi huyo mwenye…
Pichaz za mwanzo kutoka uwanja wa Taifa na first eleven ya Yanga Vs Tanzania Prisons vipo hapa…
Ligi Kuu soka Tanzania bara kuendelea tena September 16 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali, Bingwa mtetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara Dar Es Salaam Young African anarudi…
Time ya kucheki kipande cha Video, mashuti 20 toka katikati ya Uwanja yalivyoingia golini…
Mchezo wa soka kuna time unaenjoy tu yani matukio ya Uwanjani sio lazima mpaka litokee goli la penalty au goli la kumchenga kipa na beki !! Kipande cha Video kutoka…
Mengine ya Shilole na Nuh Mziwanda haya hapa kwa Soudy Brown… Wameachana?? (UHeard)
Kila siku Soudy Brown amekuwa akituletea matukio ya tetesi ambazo zimekuwa zikitokea mara kwa mara kutoka kwa mastaa mbalimbali.. leo kuna mengine mapya yamemfikia, ishu ni kuhusu uhusiano wa Shilole…
‘Game’ ya Navy Kenzo ni copy?, Weusi wamekataa kampeni? mapya ya Bonge la nyau..#255 (Audio)
Kwenye zile headlines za burudani leo 255 Producer wa The Industry Studios aliyetengeneza ngoma ya 'GAME' ya Navy Kenzo Feat.Vanessa Mdee amezungumzia beat ya ngoma hiyo kufananishwa na ngoma ya…
Alichoamua msichana huyu wa ndani kwa bosi wake ni Stori…
Matukio ya wasichana wa ndani kutesa watoto wa mabosi wao yamekuwa yakiteka headlines kila wakati..hii nyingine imetokea Kenya ambapo binti wa ndani amefunguliwa mashtaka baada ya kuamua kutumia mkojo kupikia…
Hekaheka ya Raia wa Yemen kulia na kufunga mtaa Magomeni imesikika, Kisa?…Audio
Kwenye yale matukio ya hekaheka leo inawahusu vijana wawili raia wa Yemen ambao walikuja Tanzania baada ya kukimbia machafuko nchini kwao huku mmoja akiwa na jeraha kubwa baada ya kupigwa…
#Goodnews Diamond Platnumz apokea ushindi wa tuzo nyingine mbili…!!
Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwa mtu wetu Diamond Platnumz kwani amekuwa wa kupokea na kutajwa kwenye tuzo nyingi sana kwa mwaka huu wa 2015 na siku chache zilizopita Diamond…
China wako vizuri mtu wangu, hizi ndio bidhaa zao tano wanazoongoza kutengeneza..
Bidhaa za China zimekuwa na umaarufu mkubwa sana kwenye nchi za Afrika na Tanzania ikiwemo, lakini sababu kubwa ni kwamba ukiangalia Takwimu za mwaka 2013 na 2014 China imetajwa kuongoza…
#Instagram imehesabu na kuchagua picha 17 bora za wasanii wa Hip Hop wiki hii… Msanii wa Africa ni mmoja tu! (Pichaz)
Mitandao ya kijamii kwenye headlines... kama unahisi kuwa mtandao wa Instagram hauna muda wa kufuatilia wasanii na picha zao basi leo Instagram inakupa sababu tofauti kabisa! Wiki hii Instagram ilikuwa…