Nuru The Light karudi na video yake mpyampya, inaitwa ‘L’… ni kazi ya Director Adam Juma…
Nuru The Light ni moja ya mastaa ambao wana nafasi zao kutambulika kwenye muziki wa Bongo Fleva, kuna kipindi kirefu hajasikika... haikumaanisha kauacha muziki. Nuru anarudi tena, muziki una mchakamchaka…
Ugeni mpya kwenye familia ya mwigizaji Jim Iyke…
Mwigizaji wa Nollywood Nigeria Jim Iyke ana sababu kubwa sana ya kutabasamu na kufurahi siku ya leo. Baada ya kumpoteza mama yake mzazi kipindi kama hiki mwaka jana staa huyo…
‘Bodyguard’ wa Mzee Yusuph kupigwa bastola, meneja wake ameyafikisha haya kwa Soudy Brown..Uheard (Audio)
Wiki iliyopita kulitokea taarifa ya mlinzi wa Mzee Yusuph aitwaye Hassan kupigwa bastola akiwa kazini wakati wa show iliyofanyika Moshi. Meneja wa Jahazi Morden Taarab Haji Mabovu amesema Jamaa mmoja…
Neymar na Coutinho wakumbushia pozi lao la picha wakati wapo timu ya vijana (Pichaz)
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil na klabu ya FC Barcelona ya Hispania Neymar amekutana na kiungo wa Liverpool Philippe Coutinho katika majukumu yao ya timu ya taifa. Neymar na Coutinho wote walianza kuitwa…
Mr. President wa Mexico aligeuzia soksi?? Pichaz mitandaoni… Alichojitetea hiki hapa..
Mitandao ya Kijamii ina nguvu yake kubwa sana sikuhizi, stori yoyote ikiibuka inasambaa kwa kasi kubwa sana kupitia mitandao hiyo tena kwa kasi kuliko chombo kingine chochote cha Habari !!…
AT na kinachokwamisha muziki Kimataifa, msimamo wa Juma Nature kisiasa? Female Rappers je?..255 (Audio)
Kwenye zile headlines za 255 leo Witness amesema kundi la 'Female Rappers' walikutana ili kujifunza biashara kwa njia ya online kwani wengi wamekuwa wakifanya kimakosa, pia wamezungumzia suala la mavazi…
Imani za kishirikina katika soka zaingia katika headlines Uingereza….
Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia kuwa katika mchezo wa soka hususani katika bara la Afrika, kuna baadhi ya viongozi na wachezaji wanaamini kupata mafanikio katika soka kwa ushirikina. Kwa mujibu wa…
Ninazo nchi zinazokadiriwa kuja kuwa na watu wengi kufikia mwaka 2050! (Pichaz)
Dunia inabadilika kila siku mtu wangu, Dar es salaam ya leo pengine sio Dar es salaam ya kesho na ukweli huu ni sawa kwa kwa wenzetu wa Kenya, Uganda Rwanda…
Chumvi, haja ndogo vikatumika kumfufua mbuzi aliyetolewa Kafara…Kilichofuata?#Hekaheka (Audio)
Hekaheka ya leo inatokea hapa hapa Dar.. inamuhusu mke mkubwa na mke mdogo kugombea nyumba ya urithi waliyoachiwa na marehemu mume wao,Nyumba alikuwa akiishi mke mdogo. Wakati kesi tayari…
De Gea kusaini mkataba mpya Man United ?
Ikiwa imepita wiki moja tangu usajili wake kuelekea klabu ya Real Madrid kushindikana kwenye dakika za mwisho za dirisha la usajili , kipa wa Manchester United David De Gea amenukuliwa…