Bongo movie wazindua hii kampeni….
Leo Agosti 20 wasanii kutoka kwenye tasnia ya filamu nchini, Steve Nyerere, Wema Sepetu, Batuli, Snura, Wastara na wengineo wamezindua kampeni mpya iitwayo Mama ongea na Mwanao. Kwa mujibu wa…
Stori 10 za AMPLIFAYA Agosti 20, 2015 kwako uliezikosa mtu wangu nimekuwekea hapa
Amplifaya ni show ambayo inasikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on Clouds FM ikiwa na mkusanyiko wa stori kumi kubwa za siku kutoka kwenye siasa, michezo, muziki,…
Picha walivyotambulishwa mgombea urais na mgombea mwenza wa chama cha ACT Wazalendo
Najua nina watu wangu wanaopenda stori za siasa sasa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwenye Chama cha ACT-Wazelendo ambacho leo kimepitisha majina mawili , Anna Elisha na Mussa Yusuph…
Hii ndio sababu iliyoifanya Taifa Stars kufuta mpango wa kwenda Oman
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars usiku wa August 22 ilikuwa iende Oman kucheza mechi moja ya kirafiki na timu ya taifa ya nchi hiyo kabla ya kwenda Instabul…
Majibu ya James Mbatia kuhusu haya >> UKAWA kuzuiwa kutumia Uwanja wa Taifa, Uchaguzi na Dk. Slaa… (Audio)
James Mbatia ni mmoja wa Viongozi wa Umoja wa UKAWA, August 20 2015 amekutana na Waandishi wa Habari kwenye Ofisi za Makao Makuu ya NCCR- Mageuzi, Ilala Dar. Kazungumzia kuhusu…
Ninayo sauti ya Jamal Malinzi akithibitisha kwenda kwa wachezaji watano Orlando Pirates (+Audio)
August 20 Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF Jamal Malinzi alithibitisha kukubaliwa na mmiliki wa klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini Irvin Khoza kupeleka vijana watano wenye…
Picha 8 za Nicolas Otamendi akiwa katika klabu ya Man City na alivyokutana na Aguero
Kocha wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Manuel Pellegrini August 20 amekamilisha furaha yake ya kumsaini moja kati ya mabeki bora anaowaamini na alikuwa akimuhitaji kwa muda sasa kabla…
Hatimaye ACT Wazalendo wamempata Mgombea mwingine wa Urais baada ya Dk. Kitila Mkumbo kujitoa..
Chama cha ACT-Wazalendo kiliingia kwenye Vichwa vya Habari kubwa za Siasa Tanzania kwa siku tatu mfululizo kutokana na ishu ya Mwakilishi wa Chama hicho kwenda Ofisi za Tume ya Uchaguzi…
Simba kumleta Papa Niang kutoka Senegal? Hii ni sababu inayoongeza uwezekano wa kumpata
Klabu ya soka ya Simba bado inaendeleza usajili wake kimya kimya kwani baada ya kusajili wachezaji kadhaa katika msimu huu bado huenda ikamuongeza mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal aliyekuwa anaichezea…
Kuna hizo Hotel za kifahari zipo katikati ya ya maji nimekusogezea hapa…(Pichaz)
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nimekutana na hizi hoteli zenye mvuto zaidi dunini ambazo zimejengwa ndani ya maji mtu wangu. Unaweza kuzitazama na kuniambia ipi imekuvutia zaidi.. …