Mayunga ameiachia ‘Nice Couple’.. hii ya kwanza kabisa baada ya Ushindi wake wa #TraceMusicStar- (Video).
Mtanzania aliyeibuka mshindi kwenye shindano la Trace Music Star mbele ya Majaji watatu ndani ya Nairobi +254 ikiwemo Akon, Mayunga anaanza rasmi kutengeneza njia yake kubwa kwenye muziki wa Kimataifa baada ya kuiachia…
Serikali yaizuia CHADEMA, MAGUFULI, LOWASSA wala viapo na Kipindupindu chashika kasi…#StoriKubwa
HABARILEO Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema ujivuni wa fedha sio mali kitu, kwani mtu anaweza kununua watu wachache kwa tamaa na njaa zao, lakini hawezi kukinunua chama chote.…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 10 ya Tanzania August 20, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Lowassa kamaliza kazi? CHADEMA yazuiwa Uwanja wa Taifa? NEC imejipanga.. CCM je? (Audio)
Kwenye stori kubwa ziko na hizi, headlines baada ya headlines mtu wangu zilizonaswa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania August 20 2015. CCM yatoa ilani yake ikiwemo pi ahadi chache…
Magazeti ya Tanzania Agosti 20, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Agosti 20,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Dili la Song kujiunga na West Ham United limegeuka hivi…..
Kiungo wa kimataifa wa Cameroon ambaye amewahi kuichezea klabu ya Arsenal ya Uingereza kwa muda mrefu kabla ya kutimkia FC Barcelona ya Hispania Alex Song na msimu uliopita kuitumikia klabu ya West…
Juma Kaseja kamaliza uvumi, kajiunga na klabu ya Mbeya City
Baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu golikipa mkongwe na mahiri Juma Kaseja kuwa bila timu na kuhusishwa kujiunga na vilabu mbalimbali hatimaye uvumi huo umemalizika August 19…
Ester Bulaya hakuwa na mpango wa kuhama CCM ila….
Najua nina watu wangu wanaopenda stori za siasa sasa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa aliyekuwa mbunge wa viti maalumu kupitia CCM Ester Bulaya pamoja anaonekana kwenye headlines mpya…
Updates:Hii ni idadi mpya ya wagonjwa wa kipindupindu hospitali ya Mwananyamala Dar es Salaam
Jana nilikusogezea stori kutoka hospitali ya Mwananyamala kuhusu kupokea idadi ya wagonjwa wa kipindupindu 20 na kufariki kwa watu watatu, sasa leo ripota wa millardayo.com amefika tena hospitalini hapo kuhakikisha kinachoendelea…
List ya Top10 ya stori zilizosikika kwenye Amplifaya ya CloudsFM Agosti 19 2015
Kama utaweza kuwasha radio yako na kujiunga na CloudsFM kila Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku utakutana na mtu wako wa nguvu Millard Ayo ambaye kazi yake ni…