Hii ndio Ratiba rasmi ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara 2015 iliyotolewa na TFF…
August 19 Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi Boniface Wambura ametangaza ratiba rasmi ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara ambapo Ligi Kuu itaanza Septemba 12 2015 ambapo itakuwa ni…
Nimekusogezea picha 16 za muonekano wa Bandarini Dar es Salaam August 19 2015..
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila kinachonifikia mtu wangu, najua kuna watu wako Dar es Salaam lakini wako busy na sio rahisi kila mtu akaona mazingira ya Bandarini kulivyo au…
Mirror aliwarekodi Nuh Mziwanda na Wema Sepetu kwenye simu, kilichofuatia je? (U Heard)
Mirror leo kapatikana kwa Soudy Brown, kulikuwa na sauti ambayo ilirekodiwa na kusambazwa mitandaoni anasikika Wema Sepetu na Nuh Mziwanda wakiwa kwenye story za mapenzi, Mirror anasema yeye ndio mhusika aliyerekodi…
Akaunti ya Fid Q imerudishwa? Mo Music na biashara za dagaa, Nay wa Mitego na video za damu…#255 (Audio)
Leo kwenye zile Stori za 255 amesikika Fid Q kuhusu akaunti yake iliyotekwa,,anasema anashukuru akaunti yake kurudishwa, aliyehusika amesikitishwa na alichokifanya, baada ya kugundua amemkosea alisikitika na kuomba msamaha kwa kile…
Kwenye Viwanja vinavyovutia wakati ndege inatua, Africa kipo kimoja kwenye hivi kumi… (Pichaz)
Ukisafiri kwa basi kuna vitu vingi unaenjoy kuviona njiani, kama unatoka Dar kwenda Iringa najua kwenye vitakavyokuvutia njiani iko pia mbunga ya Wanyama Mikumi... utaona kingine ni milima, misitu.. vyote…
Oscar Pistorious anarudi uraiani? Jela kuna VIP? haya hapa kutoka South Africa..
Mwezi October 2014 iliytolewa hukumu ya kifungo cha miaka mitano jela kwa kesi ya mauaji ambayo ilikuwa inamkabili Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorious. Stori nyingine iliyopewa uzito sasahivi…
Hekaheka ya mke kumng’ata mumewe sehemu za siri kisa ulevi imenifikia…(Audio)
Hekaheka ya leo inatokea Dar es salaam eneo la Tabata Kinyerezi, inamhusu mume kujeruhiwa vibaya sehemu zake za siri na mke wake kisa ni mlevi kupita kiasi. Mke wake amekua…
Kila kitu wazi.. na DiamondPlatnumz kaonyesha anamsupport Mgombea Urais gani 2015.
Ni mwaka wa Uchaguzi Tanzania ambapo upinzani mkubwa unaonekana kwenye Wagombea wawili ambao ni John Pombe Magufuli atakaegombea kupitia CCM na Edward Lowassa aliyechukua fomu ya CHADEMA kwenye headlines za…
Video ya kilichonaswa Party ya Dj wa Diamond na maneno ya Diamond kuhusu zile msg na Wema na DNA ya mtoto wake na Zari.
Ilikua August 17 2015 Dar es salaam kwenye birthday party ya Rommy Jones ambaye ni ndugu wa mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz vilevile ndio official Dj wake ambapo vilevile AyoTV…
Hofu ya Fisi kushambulia watu yatanda, JK aahidi uchaguzi huru na Wagonjwa wa Kipundupindu..#StoriKubwa
HABARILEO Mbunge wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa tayari…