Mkusanyiko wa habari 10 kubwa za siku Amplifaya ya CloudsFM Agosti 18, 2015
Amplifaya ni show ambayo inasikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on Clouds FM ikiwa na mkusanyiko wa stori kumi kubwa za siku kutoka kwenye siasa, michezo, muziki,…
Usitegemee kumuona Ivo Mapunda Simba tena! yote mapya yako hapa (+Audio)
Golkipa mkongwe aliyewahi kucheza katika klabu za Yanga na Simba Ivo Mapunda August 18 2015 amezungumzia kilichotokea kati yake na Simba mpaka kutopata nafasi ya kuongezewa mkataba kuichezea club hiyo........…
Real Madrid na Man United za karibia kufanya biashara
Klabu ya Real Madrid ya Hispania na Manchester United kuna kila dalili za kufikia makubaliano ya kuuziana wachezaji, kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mazungumzo na mvutano kuhusu golikipa wa…
Hii mpya kutoka kwa Rita Ora imenifikia mtu wangu: “Body on Me” feat.Chris Brown (Video)
Rita Ora msanii aliyopo chini ya lebo ya Roc Nation anaziandika headlines jioni ya leo. Baada ya kuachia audio ya Body on Me siku chache zilizopita msanii huyo wa R&B…
Rubani kaikosa kazi, akaongezewa na kifungo kutokana na Ulevi kazini..
Usafiri wa anga japo kumekuwa na Ripoti mfululizo kuhusu ajali za ndege lakini bado, usafiri wa anga unaendelea kuwa usafiri salama zaidi Duniani. Sheria, kanuni na taratibu za usafiri wa…
Man City na Valencia wamefikia hapa kuhusu usajili wa Nicolas Otamendi
Klabu ya Manchester City ya Uingereza bado inaendelea kusajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Uingereza kwani baada ya kuhusishwa kwa muda mrefu kumtaka beki wa kati wa kimataifa…
Jermaine Dupri na Bow Wow washirikiana kukuletea “WYA – Where You At”. (Video)
Jermaine Dupri na Bow Wow wamerudi tena kwenye headlines za burudani, baada ya kutengana kwa miaka mingi Jermaine na Bow Wow wameungana tena kukuletea burudani ya kipekee kabisa chini ya So…
Nimeipata idadi ya wagonjwa wa kipindupindu hospitali ya Mwananyamala Dar es Salaam
Ni stori ambayo ilianza kuchukua headline tangu asubuhi ya Agosti 18, 2015 kuhusu ugonjwa wa kipindupindu mitandao mbalimbali imeripoti, sasa saa chache zilizopita ripota wa millardayo.com amefika hospitali ya Mwanyamala kuhakikisha…
Maamuzi ya Rais wa Gabon kwa vijana wa Taifa lake yapo kwenye headlines !!
Inafahamika kuwa viongozi wengi wa Afrika wanapenda kujilimbikizia mali na kukaa madarakani ili kuendelea kuongoza nchi zao, wengine husababisha hata nchi kuingia kwenya machafuko ya kisiasa. Kuna hii ya Rais…
Christian Bella & Malaika Music Band kwenye hii mpya ‘Amerudi’….(Video)
Christian Bella amerudi tena kwenye headlines za burudani akiwa na kundi la Malaika Band baada ya kuungana na kufanya Video ya pamoja inayoitwa 'Amerudi'. Video hiyo imefanyika chini ya director…