Kibao kilivyowageukia Polisi waliovamia na kuwakamata wapenzi Hotelini India…
Polisi waliendesha msako kwenye Hoteli mbalimbali India kama wiki moja hivi iliyopita, kisa cha kuendesha msako huo walidai kwamba wenyeji wa eneo la Mumbai walilalamika kwamba kuna mambo maovu yanafanyika…
Moja ya Comment ya Kiswahili iliyonichekesha kwenye post ya Kim Kardashian inayowahusisha Diamond na Zari..
Unajua siku hizi mitandao imekua ni sehemu kubwa ya maisha yetu kwa wale ambao tumekua tukiwafatilia Mastaa mbalimbali wa dunia kujua wanafanyaje au nini wanachokifanya kwa muda husika. Siku chache…
Wanaume walivyorekodiwa video bila kujijua wakipewa lift kwenye gari kali na msichana wasiemfahamu..
Kikawaida ni kwamba sio rahisi upande kwenye gari la mtu usiyemfahamu sababu tu amekuita akupe lift ila hii video imeonyesha utofauti manake huyu Mwanamke alichukua gari kali alafu badae akachukua…
Afya ya Mbowe, Dk.Slaa aikana akaunti ya Twitter, Kafulila na Polisi…#MAGAZETINI AUGUST 12
MWANANCHI Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe kuugua ghafla akiwa kwenye maandaamano na kuwahishwa hospitali ya Taifa Muhimbili, imebainika kuwa hali hiyo…
Inawezekana Davido katishiwa maisha na kuamua kujifunza kujilinda kwa bastola?… (Pichaz + Video)
Superstaa wa muziki Nigeria Davido siku chache zilizopita alikuwa jijini Atlanta kwa ajili ya mafunzo madogo ya matumizi ya bunduki maarufu kama Gun Shooting Range lessons. Taarifa zinazosambaa mitandaoni wakati…
Stori zote kubwa nilizozinasa kutoka ndani ya Magazeti 9 ya Tanzania leo August12
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote naupandishwa kwenye account yangu ya Twitter @millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita,…
Hofu ya EBOLA Kigoma.. mengine Kura za Maoni CCM? Waziri Chikawe na msafara wa Lowassa? (Stori +Audio)
Kwenye stori kubwakubwa nimeziweka karibu na wewe hizi hapa mtu wangu, headlines kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania August 12 2015. Hofu ya Ugonjwa wa Ebola yatanda Kigoma baada ya…
Magazeti ya Tanzania Agosti 12, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Agosti 12,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Nimekusogezea matokeo ya mechi ya Super Cup FC Barcelona vs Sevilla (Pichaz&Video) Zipo hapa
Usiku wa August 11 ulikuwa ni usiku ambao unazikutanisha timu mbili kutoka Hispania ambazo zote ni mabingwa, FC Barcelona ni Bingwa wa klabu Bingwa Barani Ulaya huku klabu ya Sevilla ikiwa…
Pedro Rodriguez kaweka wazi msimamo wake, Kocha je? Namba yake kaivaa nani game ya Super Cup?
Namba ya siku Pedro atakazoendelea kukaa ndani ya klabu ya FC Barcelona zinahesabika baada ya Rafinha kupewa nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza kinachocheza na Sevilla katika Spanish Supercup. Pedro…