List ya mastaa wa soka Afrika wakiwa na wapenzi wao…(Pichaz)
Wanapokua mbali na kazi zao za kila siku kila mtu hupenda kujumuika na familia au ndugu wa karibu kwa ajili ya kubadilishana mawazo, hii pia hujitokeza hata kwa mastaa wengi…
Victor Valdes ataja mtu pekee anayeweza kuishi nae
Ikiwa zimepita wiki kadhaa toka golikipa wa Manchester United Victor Valdes hashindwe kuwa katika mahusiano mazuri na kocha wake Louis van Gaal ambae ana amini Valdes ni mtovu wa nidhamu, na…
Wapendanao waliokubali kufa Jangwani ili kumwokoa mtoto wao.. (+Video)
Mtu na mpenzi wake walianza safari ya Kutalii Jangwani wakiwa na mtoto wao pamoja na akiba kidogo ya maji ya kunywa wakiwa kwenye safari yao Jiji la New Mexico Marekani ambapo…
Rais wa TP Mazembe anaitamani Siasa? Urais wa Congo DRC ataweza??
Rais wa Klabu ya TP Englebert Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Moise Katumbi Chapwe ametajwa kuwa na mpango wa kuingia kwneye mbio za kuwania urais wa nchi hiyo unaotarajiwa kufanyika…
Update baada ya Freeman Mbowe kulazimika kupelekwa Hospitali jana.
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe jana Aug 10 2015 baada ya kumaliza harakati za kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais kwenye tume ya taifa…
Soudy Brown kwenye U Heard, leo ni Nuh Mziwanda na Idris… Kisa Shilole? (Audio)
Kulikuwa na voice note ambayo ilichukua headlines sana, zinasikika sauti za watu wawili ambao ni Wema Sepetu na Nuh Mziwanda, kinachoongelewa ni ishu ya mapenzi. Baada ya hapo kukawa na…
Pichaz 18 za Makocha wa zamani Ligi Kuu Uingereza ambao walikuwa Wachezaji pia…
Katika hali ya kawaida imezoeleka kuwa makocha wa timu za soka mara nyingi huwa wamewahi kucheza soka katika kiwango cha juu au walau kiwango fulani ambacho kinawaruhusu kuwa na uelewa…
Camera zilivyomnasa Raheem Sterling mpaka kwa shabiki aliyempa jezi yake… (Pichaz)
Winga wa Manchester City, Raheem Sterling ambaye amejiunga na timu hiyo baada ya kununuliwa toka Liverpool ameonekana kuanza kuwavutia mashabiki wa klabu yake mpya baada ya kitendo chake cha kugawa…
Manchester City na Manchester United wanaingia vitani kwa sababu ya kumsaka Pedro Rodriguez? Pesa tatizo?
Huku Manchester United wakionekana kujiandaa kutangaza usajili wa kiungo mshambuliaji Pedro Rodriguez, mahasimu wao toka Jijini Manchester, Man City wameingilia kati usajili huo na kutishia nafasi ya United. City kupitia kwa…
AyoTV: Peter wa P Square kamzungumzia Diamond Platnumz na wanachotakiwa kukifanya Watanzania.
Peter ambaye ni mwimbaji kutoka kundi la P Square aliongea na ripota wako Millard Ayo kuhusu Diamond Platnumz na kitu Watanzania wanatakiwa kufanya lakini pia amezungumzia kolabo yao, hii video…