Jamaa katega camera na gari lake kali anawapa lift Warembo kuona watakataa? (video)
Jamaa wameamua kutegesha video camera mahali alafu wanachukua gari kali la kifahari na kujaribu kuwapa lift Warembo, kingine ni kwamba dereva au jamaa mwenye gari haongei neno lolote anawaita kwa…
Lipumba na CUF ndio basi, UKAWA je? Wasanii na kikao cha TCRA? Wabunge walioanguka? (Audio)
Magazeti ya Ijumaa 7 August 2015 yako mtaani tayari na vichwa vyake vikubwa vya habari, kazi yangu ni kukusogezea zile zote zinazoweka headlines magazetini... ziko na hizi zilichochambuliwa Redioni. Prof. Ibrahim…
Amani katuletea hii single mpya inaitwa ‘heartbreaker’
Amani ni mkali wetu wa Afrika Mashariki longtime kwenye huu muziki kutokea 254 akiwa na hits kama 'tamani' na 'missing my baby' ambaye bado ameendelea kukaa kwenye game, sasa hivi…
Wolper kaweka hii picha ya Diamond na Kiba waliyopigwa jana na kuyaandika
Jackline Wolper ni mwigizaji kutoka bongo movie ambaye August 6 2015 alipost picha ya Ali Kiba na Diamond wakionekana pamoja kwenye foleni ya chakula kwenye party iliyofanyika ya kumuaga Rais…
Magazeti ya Tanzania Agosti 7, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Ijumaa Agosti 7,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Rais JK alivyopiga selfie mojamoja na Wasanii kwenye party !
August 6 2015 Mlimani City Dar es Salaam, Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete amekutana na wasanii ambapo kilichofanyika hapo ni hafla ya kumuaga Rais JK ambapo imebaki kama miezi miwili…
Prof. Lipumba alivyojiuzulu
Ni Aug 6 2015 ambapo Mwenyekiti wa C.U.F Prof. Ibrahim Lipumba kakutana na Waandishi wa habari Dar es salaam kutangaza maamuzi yake magumu siku chache baada ya Lowassa kujiunga na…
Kauli ya Di Maria kuhusu Manchester United bado inawashangaza walio wengi
Kauli ya Angel Di Maria infanya watu wazidi kujiuliza maswali mengi na yasiyo na majibu, muda mchache baada ya kuthibitika kujiunga na klabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya Ufaransa…
Je Arsenal itatwaa Ubingwa kama itamsajili Benzema? Hili ni jibu la Thierry Henry
Klabu ya Arsenal ya Uingereza ambayo ipo katika mbio za kumnasa mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anaekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Karim Benzema, dalili za Arsenal kuongeza…
Pichaz nyingine kutoka Mlimani City Dsm… Wasanii wanavyomuaga Rais Kikwete !
Rais Jakaya Kikwete ameandika Historia yake nzuri kwenye kipindi cha Uongozi wake TZ, mara nyingi amekuwa karibu na wasanii wa TZ pamoja na wanamichezo pia. Amebakiza kama miezi mitatu hivi…