Hivi ndivyo Stamina alivyotoa Burudani ya nguvu kwa watu wake Morogoro… (Pichaz)
Vodacom Tanzania wameandika headlines nyingine Morogoro kwa watu wao wa nguvu kabisa, japo wanatoa huduma ya Mawasiliano lakini bado kuna mengine mazuri kabisa ambayo Vodacom huwa inawasogezea watu wake ikiwemo…
Nimeipata video ya alivyonaswa Profesa Lipumba akitangaza kujiuzulu CUF! iko hapa
Ni Aug 6 2015 ambapo Mwenyekiti wa C.U.F Prof. Ibrahim Lipumba kakutana na Waandishi wa habari Dar es salaam kutangaza maamuzi yake magumu siku chache baada ya Edward Lowassa kujiunga…
Picha na video za Messi alivyokasirika akampiga kichwa huyu jamaa wa AS Roma ndani ya Uwanja…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina anayeichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi alishindwa kuzuia hasira zake baada ya kupigwa kikumbo na Mapou Yanga-Mbiwa wa klabu ya AS Roma…
Zamu ya Mtanzania Ernest Napoleon
Ernest Napolion ni Mtanzania ambaye amethubutu na akaweza japo hajafika, alikua mtangazaji wa EATV mwanzoni mwa miaka ya 2000 na baadae akaondoka Tanzania, kakaa Marekani na akachukua huu ujuzi, historia…
Kumbe ustaa wa Mo Music ulimponza chuo? Kazi za wasanii kuuzwa online? pia COSOTA wamezungumza..#255 (Audio)
Mo music amemaliza masomo yake ya Mahusiano ya jamii katika chuo cha Sauti, anasema katika maisha yake ya chuo kitu ambacho hatakisahau ni siku aliyochelewa kuamka na kukosa kufanya quiz,…
Prof. Lipumba kafanya maamuzi magumu, tujikumbushe pichaz UKAWA walivyompokea Lowassa…
Ulimwengu wa Siasa Tanzania August 06 2015 umepokea headlines nyingine zenye uzito ambapo aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa Chama hicho. Kwenye kile…
Tanzania bado hali tete katika viwango vya FIFA imeshuka hadi nafasi hii
Shirikisho la Soka ulimwenguni FIFA huwa na utaratibu wa kutangaza viwango vya soka vya nchi wanachama kila mwezi lakini Tanzania imeonekana kuzidi kushuka, ndani ya kipindi cha miezi miwili imeshuka…
Busta Ryhmes matatani ajikuta mikononi mwa polisi…!!
Msanii wa Hiphop Marekani mwenye style yake ya kipekee kabisa ya ku-rap Busta Rhymes anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani. Siku chache zilizopita msanii huyu alikuwa Gym moja iitwayo Steel…
Kisa mahindi ya kuchoma, Mume kamuunguza vibaya mke wake hadi kubaki mlemavu….#HekaHeka (Audio)
HekaHeka ya leo inatoka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbii ..kuna mama amefanyiwa vitendo vya ukatili na mume wake baada ya kuunguzwa vibaya na maji ya moto ya ugali na…
Ujio wa mtoto wa Diamond: Wolper naye kathibitisha kuitwa mama hivi karibuni!!
Jacqueline Wolper ni miongoni mwa mastaa waliofurahishwa na ujio wa mtoto wa Diamond pamoja na Zari.. Katika ukurasa wake wa @Instagram Wolper amewapongeza baba na mama Tiffah huku akiweka ujumbe kuwa…