Fahamu kinachotokea kwenye vipimo vya afya wakati wa usajili.
Wakati wachezaji wa soka la kulipwa wakiwa kwenye mchakato wa kusajiliwa kwenye timu mpya kuna vitu vingi sana hutokea ambavyo kimsingi vinakamilisha mchakato wa usajili wa mchezaji husika toka…
Nyumba tatu nzurinzuri nimekutana nazo labda utazame unaweza kupendezesha yako
Kama unapenda kuchukua ujanja wa kuiweka nyumba yako vizuri hata kama sio ya kifahari, madini yote unaweza kuyapata kwenye hii post ya nyumba ambayo huwa naiweka hapa millardayo.com mara kwa…
Baada ya sauti ya Mziwanda akimtongoza Wema Sepetu, Shilole kayaandika haya
Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shilole ambaye aliingia kwenye headlines baada ya boyfriend wake msanii Nuh Mziwanda kunaswa kwa sauti akimtongoza mwigizaji Wema Sepetu. Ilionekana kama baada ya kusambaa hadharani…
966 ya Nay wa Mitego haijaishia kwenye magari na nyimbo tu,imefika huku sasa hivi…
Namba 966 licha ya kuwa ni namba ya kawaida kama namba zingine lakini ni namba ambazo Msanii wa Tanzania Nay wa Mitego ameamua kuzitumia yeye rasmi kama namba zake muhimu…
Polisi auawa, Majambazi waliopata ajali? Ni Lowassa, Duni na Magufuli? Mawaziri walioanguka Ubunge? (Audio)
Siasa bado zina uzito wake mtu wangu, iko stori ya Mbunge wa Monduli Edward Lowassa na Juma Duni Haji wamepitishwa kugombea Urais kuwakilisha UKAWA 2015, Mawaziri Gaudensia Kabaka na Nyambari…
Video ya walichokiongea John Magufuli na Rais Kikwete baada ya kuchukua fomu Aug 4 2015.
Aug 4 2015 Mgombea Urais kupitia CCM John Magufuli alichukua fomu ya Urais kwenye tume ya taifa ya uchaguzi ambapo alisindikizwa na mgombea mwenza na viongozi wengine akiwemo Rais Kikwete,…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania Agosti 5 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Agosti 5,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Julio ana maamuzi haya kuhusu Kaseja na Jerson Tegete
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga Jerson Tegete na golikipa Juma Kaseja ambao kwa sasa hawana timu za kuchezea baada ya Tegete mkataba wake na Yanga kumalizika hivyo kubakia kama mchezaji…
Stori 10 za AMPLIFAYA Agosti 4, 2015 kwako uliezikosa mtu wangu nimekuwekea hapa
Amplifaya ni show ambayo ipo Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on CLOUDS FM ambayo inahusika kuzihesabu habari 10 kubwa za siku kutoka kwenye siasa, muziki, michezo, movies, maisha…
Ukweli wa Simon Msuva kuhusu ile ya kufanya majaribio South Africa.
Simon Msuva ni winga mshambuliaji wa klabu ya Dar Es Salaam Young African ambae msimu uliomalizika aliibuka kuwa mfungaji wa bora wa Ligi Kuu Tanzania bara katika msimu uliomalizika wa mwaka…