Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania Agosti 5 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Agosti 5,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Julio ana maamuzi haya kuhusu Kaseja na Jerson Tegete
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga Jerson Tegete na golikipa Juma Kaseja ambao kwa sasa hawana timu za kuchezea baada ya Tegete mkataba wake na Yanga kumalizika hivyo kubakia kama mchezaji…
Stori 10 za AMPLIFAYA Agosti 4, 2015 kwako uliezikosa mtu wangu nimekuwekea hapa
Amplifaya ni show ambayo ipo Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on CLOUDS FM ambayo inahusika kuzihesabu habari 10 kubwa za siku kutoka kwenye siasa, muziki, michezo, movies, maisha…
Ukweli wa Simon Msuva kuhusu ile ya kufanya majaribio South Africa.
Simon Msuva ni winga mshambuliaji wa klabu ya Dar Es Salaam Young African ambae msimu uliomalizika aliibuka kuwa mfungaji wa bora wa Ligi Kuu Tanzania bara katika msimu uliomalizika wa mwaka…
Uhamisho wa Cannavaro Al Ahly ya Misri uliishia wapi vile? kaongea mwenyewe hapa
Nahodha wa Dar Es Salaam Young African pamoja na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Nadir Haroub Cannavaro amezungumzia kuhusiana na zile taarifa za yeye kuhitajika na klabu ya…
Video ya msafara wa John Magufuli kuchukua fomu Tume ya taifa August 4 2015
Ni baada ya Chama cha mapinduzi kumteua John Magufuli kuwa mgombea wa urais wa Tanzania leo ilikuwa ni siku ya kuchukua fomu Tume ya taifa ya uchaguzi mwaka 2015…
Baada ya kupoteza matumaini ya kumpata Ramos, Man United waelekeza nguvu kwa beki huyu
Klabu ya Manchester United imekuwa ikimuwania beki wa Real Madrid ya Hispania Sergio Ramos kwa muda mrefu licha ya kuwa Real Madrid walikataa kumuuza beki huyo kwenda Manchester United kwani…
Ripoti ya TFDA kuhusu idadi na thamani ya vipodozi vilivyoteketezwa 2014/15…(Audio)
Mmlaka ya chakula na Dawa TFDA imeatoa ripoti ya mwaka wa fedha kuhusu bidhaa mbalimbali zilizokamatwa na kuteketezwa kwa mujibu wa sheria na hatua zilizochukuliwa. Mkurugenzi wa TFDA Hitti Sillo amesema…
Aunt Ezekiel anaimani na Lowassa au Magufuli?, jibu liko hapa
Tunafahamu kuwa kuna baadhi ya wasanii kwenye tasnia ya Bongo Movie wao walishatangaza hivi karibuni kuwa imani yao katika uchaguzi mwaka 2015 wanaamini CCM kitashinda kupitia mgombe wake Dk. John…
Davido na AKA wameshirikishwa kwenye hii Collabo nyingine ya Dj Maphorisa…’Belinda’ (Remix)
Dj kutoka Afrika Kusini Maphorisa ameachia remix ya ngoma yake 'Belinda' ambapo ndani wamesikika mastaa kutoka Nigeria Davido pamoja na Rapper AKA. Isikilize hapa mtu wangu... https://www.youtube.com/watch?v=_ZYqMFsEBes PAPO KWA PAPO…