Sikuwa najua kama utata wa post za Diamond unawahusu watu hawa….
Inawezekana ukawa ni mmoja kati ya wale ambao wamekua wakijiuliza juu ya utata wa post za Diamond Platnumz ambazo amekua akipost kama zinamhusu mtu au kikundi Fulani ambacho anataka ujumbe…
Maneno ya kwanza ya Nape Nnauye toka Lowassa aondoke CCM.
Katibu wa Itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi CCM Nape Nnauye kwa mara ya kwanza toka Edward Lowassa ajiunge na CHADEMA akitokea CCM, ameyazungumza haya mbele ya Waandishi wa…
Mama anamkumbuka sana mwanae Ngwea, katika nyimbo zake zote kwake hii ni namba 1
Ingawa hatuko nae duniani lakini upendo wake pamoja na nyimbo zake bado upo kwenye hizia za wengi na ndio maana jina lake ni gumu kusahaulika miongoni mwetu, alikua rapper kwenye…
Will Smith na mke wake kuachana baada ya miaka 17 ya ndoa!? Majibu haya hapa…
Kulitokea uvumi mkuba siku ya jana na kusababisha headlines kubwa juu ya masuperstaa na wanandoa Will Smith na mke wake wa miaka 17 Jada Pinkett Smith baada ya baadhi ya mitandao…
Maendeleo ya Tudd Thomas ni haya baada ya kuvamiwa July 31, 2015
Taarifa ambayo ilichukua headline ile ya mtayarishaji wa hit single ya Mdogo Mdogo, Tudd Thomas baada ya kuvamiwa usiku wa kuamkia July 31 2015. Ripota wa millardayo.com & Ayo TV…
Magufuli na Fomu ya Urais.. Dk. Slaa na CHADEMA je? Mgombea Urais ADC + UKAWA, Zanzibar nako? (Audio)
Magazeti ya Agosti 4 2015 yako mtaani na vichwa vyake vikubwa vya habari, nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwakubwa zilizoweka vichwa vya habari magazetini leo... Kuna stori kubwa zenye…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania Agosti 4 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Agosti 4,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Sababu iliyofanya Wayne Rooney kuchezea Everton August 2 hii hapa
Mshambuliaji na nahodha wa Manchester United Wayne Rooney amewahi kuchezea klabu ya Everton ya Uingereza kabla ya mwaka 2004 kuhamia katika klabu ya Manchester United kwa ada ya uhamisho ya…
Maneno ya Steve Nyerere baada ya kushindwa kwenye kura za maoni
Stori ninayokusogezea ni hii kutoka kwa msanii wa filamu Tanzania, Steve Nyerere ambaye wiki iliyopita hakufanikiwa kuwania ubunge wa jimbo la Kinondoni kutokana na kura zake kuwa chache. Sasa leo…
Story zote 10 zilizosikika kwenye AMPLIFAYA leo Agosti 3 2015 unaweza kuzicheki hapa..
Tayari countdown ya story kubwa zote za siku ya leo imekamilika.. ulipitwa na#AMPLIFAYA mtu wangu? Hapa nina hizi story zote kubwa kwa ajili yako, unaweza kuzisoma zote kuanzia #10 mpaka…