Wakati headlines za Dr. Slaa zikiendelea na CHADEMA, haya ni maneno 28 kayaandika Zitto Kabwe
Kumekuwa na Headlines nyingi mfululizo kuhusu kinachoendelea CHADEMA baada ya kupokelewa kwa Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa... swali ambalo ripota wa millardayo.com alimuuliza Mbunge…
Kutana na uwanja huu wa mpira wa miguu unaobadilika rangi pichaz na video ziko hapa..
Ujerumani ni moja kati ya nchi zinazofanya vizuri katika Ulimwengu wa soka lakini pia iliwahi kuandaa michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2006... Sifa ya nchi hiyo sio tu kuandaa michuano…
Linah kaisogeza na hii nyingine kutoka kwenye mikono ya Godfather South Africa- ‘No Stress’ (Video)
Linah Sanga amerudi kuziandika headlines kwa mara nyingine weekend hii, baada ya kuachia audio ya wimbo wake mpya No Stress ameona atusogezee na video yake kabisa. Video imesimamiwa na Godfather ndani…
Kuna waliomfata Lowassa Z’bar? Nape na TAKUKURU ilikuwaje? ya ‘bao la mkono’ NEC.. Nimezisogeza>> #StoriKUBWA
NIPASHE Wanachama wa CCM Zanzibar wamesema hawapo tayari kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kitendo cha kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA. Katibu wa Mkoa wa…
Super Model Naomi Campbell matatani ahukumiwa kifungo cha miezi 6 jela!!
Super Model Naomi Campbell anaziandika headlines jumamosi hii baada ya taarifa kusambaa kuwa model huyu yupo matatani kwenda jela kufuatia tukio la ushambuliaji wa mwili alilolifanya dhidi ya mpiga picha Gaetano…
Kampuni iliyoongoza 2015 kwa kuuza magari mengi duniani ni……. (sio Toyota)
Ni moja ya zile stori kubwa za wiki hii duniani ambapo CNN wameripoti kwamba taji lililokuwa likishikiliwa na kampuni ya Toyota ya Japan iliyovunja rekodi kwa miaka mingine, limebebwa na…
Kwa mashabiki wa Janet Jackson… yuko na J.Cole kwenye hii video mpya
Ni miongoni mwa wale mastaa wa longtime duniani ambao wamekua kimya kwenye muziki kwa miaka.... July 26 2015 Janet Jackson ametoa single yake ya 'No sleeep' Feat J.Cole ndio hii…
Maelezo ya Nape Nnauye kuhusu kuchukuliwa kwake na askari wa TAKUKURU.
Gazeti la MWANANCHI limeandika HAPA kwamba Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amefafanua ishu yake ya kuchukuliwa na askari wa Takukuru kwa mahojiano muda mfupi baada ya…
Jamaa wametegesha video camera wanajifanya haya magari makali ni yao, wanaita Wasichana kuwatest na lift (video)
Hii video ninayokuonyesha hapa chini ni moja ya video zilizorekodiwa na hawa jamaa Marekani wakijidai ndio wanamiliki haya magari alafu wanatumia kuwatokea Warembo wakati huohuo kumbe ni mchezo na wanarekodiwa…
Maneno ya Wema Sepetu baada ya kuukosa Ubunge
Mwigizaji staa wa Tanzania Wema Sepetu alikua akiwania nafasi ya Ubunge wa viti maalum Singida lakini kwa bahati mbaya hakuipata hiyo nafasi, kakaa kwenye Exclusive Interview na AyoTV na kuyazungumza…