Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania Agosti 1 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Agosti 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Nakupeleka mpaka Durban South Africa kukutana na jengo kulikotolewa tuzo za MTV Africa 2015
Inawezekana sababu mojawapo ya utolewaji wa tuzo kubwa za burudani Afrika kufululiza kufanyika Afrika Kusini ni kutokana na urahisi wa sehemu ya kufanyikia yani majengo sahihi kwa ajili ya events…
Ulikua mbali na Radio? stori zote 10 za AMPLIFAYA July 31,2015 nimekuwekea hapa
Amplifaya ni show ambayo inasikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on Clouds FM ikiwa na mkusanyiko wa stori kumi kubwa za siku kutoka kwenye siasa, michezo, muziki,…
Simba SC kama Real Madrid, Barca na Manchester United !
Ni kitu ambacho tumezoea kukiona kwenye club kubwakubwa za soka duniani kama Real Madrid, Manchester United, Arsenal, Barcelona na nyinginezo.... ni njia nyingine ya ubunifu inayokuza sana uchumi wa club…
Tume ya uchaguzi na mpango wa fomu za Urais 2015 kwa vyama vyote Tanzania (audio)
Tayari headlines za majina ya waliopitishwa na vyama kugombea Urais zilichukua uzito sana kwenye stori kubwa Tanzania kwa muda mrefu, baada ya hatua hiyo sasa hivi kinasubiriwa kuona wagombea hao…
Unadhani wasanii wa siku hizi wanahangaika kutoka kimuziki? Dj Khaled ana haya majibu… (Audio).
Muziki wa siku hizi umebadilika sana, kuanzia namna ya kufanya muziki hadi mauzo yake hii ni kutokana na ukuaji mkubwa wa teknolojia, hata namna ya kupromote muziki umerahisishwa siku hizi,…
Matokeo ya mechi za nusu fainali, Azam FC katinga fainali? jibu lipo hapa
Nusu fainali ya michuano ya kombe la Kagame imechezwa July 31 kwa timu nne kushuka dimbani, huku timu mbili pekee zitakazoshinda ndio zitakazocheza mchezo wa fainali jumapili ya August 2…
Mdundo wa Mayunga nao umeanzia Trace TV yani, cheki pichaz zake nilivyoinasa #OnAir
Mayunga alikuwa msanii tu wa kawaida TZ, na aliwahi kufanya midundo ambayo haikumfikisha mbali sana kwenye Bongo Fleva, jina lake likazibeba Headlines zenye uzito zaidi baada ya kuibuka na Ushindi…
Watoto watano wa mastaa wa soka waliofuata nyayo za baba zao, picha & video zipo hapa
Mwaka 2012 kocha wa Arsenal, Arsene Wenger alikuwa wa kwanza kuomba kumsajili mtoto wa Lionel Messi ili akikua ajiunge na Academy ya Arsenal, hiyo inaonesha pia kwamba kuna watoto wengi wa wanasoka…
Majibu ya Sheikh Shariff kwa Soudy Brown kuhusu ishu ya kuoa mke wa mtu…. (+Audio)
Soudy Brown alianza na stori inayohusu jamaa mmoja ambae anadai kwamba Sheikh Shariff amemchukulia mkewe, baada ya madai hayp Soudy Brown kamcheki Sheikh Shariff ili apate majibu ya ishu yenyewe.…