Sio story mpya Snoop Dogg kukamatwa kisa dawa za kulevya, imemkuta tena Sweden… Kilichofuatia?
Najua kukutana na story ya Rapper Snoop Dogg kukamatwa na Polisi sio story mpya kabisa, ishu ni kwamba jamaa alienda kwenye show Sweden, baada ya kumaliza akanaswa tena na Polisi…
Mgombea Ubunge afariki, foleni ya BVR inauzwa? na maneno ya Obama kabla hajaondoka…MAGAZETINI JULY27
MWANANCHI Kiongozi wa ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe (pichani) amesema kuwa chama chake hakitashirikiana na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), badala yake kitasimama chenyewe kwenye Uchaguzi Mkuu…
Full Video ya jinsi Wema Sepetu alivyopokelewa Dar akitokea Singida alikoukosa Ubunge.
Mwigizaji Wema Sepetu alikua miongoni mwa wanaoutaka Ubunge wa viti maalum 2015 lakini mwisho wa matokeo kura zake hazikutosha kwenye nafasi hiyo Singida, akashika nafasi ya nne kati ya wagombea…
Video ya ndege ikiyumbishwa na upepo angani mpaka kutua juzi Amsterdam.
Ukiwa ndani ya ndege unaweza usijue au ukajua chanzo cha ndege kuyumbishwa kiasi hiki, ila ni upepo mkali ambao huwa upo katika baadhi ya viwanja vya ndege duniani na ndege…
Lowassa na UKAWA , NEC kuhusu Kampeni za Magufuli? ACT Wazalendo na UKAWA? (Audio)
Magazeti ya Tanzania July 27 2o15 na headlines zake kubwakubwa yako mtaani, hapa ninazo chache kwenye zile zilizobebwa leo. Lowassa akoleza joto Urais UKAWA, asubiriwa kujiunga CHADEMA, ACT Wazalendo watamba kusimama…
Familia ya Bobby Brown yathibitisha kifo cha Bobbi Kristina… #RIP (Video)
Imepita miezi sita toka Bobbi Kristina mtoto wa marehemu Whitney Houston akutwe amepoteza fahamu bafuni kwake, na toka kipindi hicho amekuwa kwenye coma kwa muda mrefu hospitalini kabla ya familia…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY27 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu July 27 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya…
Maamuzi rasmi ya ACT Wazalendo kupitia kwa Zitto Kabwe kuhusu kujiunga na UKAWA
Headlines zimeendelea kwenye mwaka huu wa Uchaguzi 2015 ambapo UKAWA sio jina geni kwa Watanzania, vyama mbalimbali vya upinzani vikiwemo CHADEMA na C.U.F vilijiunga na vinataka kumtangaza mgombea mmoja atakaewawakilisha.…
Iphone 7 inakaribia kutoka… Designers wamejitengenezea hizi.
Kampuni maarufu duniani ya Apple ambayo imekua ikitoa bidhaa mbalimbali zikiwemo simu za mkononi za Iphone inatarajia kutoa na kulionyesha toleo jipya la simu za Iphone 7 September 2015 lakini…
Weekend ya uchaguzi: Msanii Ksher kapita kwenye Ubunge, Wastara na Wema Sepetu hawakupata za kutosha
2015 tumeshuhudia mastaa mbalimbali wa kike na wa kiume Tanzania wakitangaza nia ya kuingia bungeni akiwemo mwimbaji wa Taarab Mzee Yusuf, Profesa Jay, Steve Nyerere na kwa Wanawake waliojitokeza kuziwania…