Pichaz za Rais Obama wakati anatua Uwanja wa Ndege Nairobi Kenya…
July 24 2015 Rais wa Marekani Barack Obama hatimae tayari ametua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta muda mfupi uliopita, mapokezi yote yalioneshwa LIVE kwenye TV ya K24…
Mdundo wa Navy Kenzo na Vanessa Mdee tayari umefanyiwa Video na unaweza kuicheki hapa sasahivi- Game (Video)
Ni siku chache tu zimepita toka Navy Kenzo waachie wimbo wao mpya uitwao Game ambao ndani yake ameshirikishwa Bongo Fleva superstaa ambaye alishiriki MTV MAMA 2015 pia, Vanessa Mdee. Navy Kenzo…
Hatimaye Chris Brown karuhusiwa kuondoka Ufilipino… amesema haya kuhusu kuzuiliwa kwake!
Baada ya kuzuiliwa kutoka nchini Ufilipino kwa siku mbili hatimaye Chris Brown kaachiwa huru na kuondoka salama kabisa... msanii huyo ambaye alikuwa mjini Manila kwa ajili ya show alizuiliwa kuondoka…
Yanga imemaliza dakika 90 na KMKM ya Z’bar kwa Ushindi huu July 24 2015
Klabu ya Dar es Salaam Young African imezidi kujiweka kwenye nafasi nzuri katika michuano ya Kombe la KAGAME ambalo linaendelea Dar Es Salaam... Yanga ambayo ilianza mashindano hayo vibaya imeshacheza mechi…
Ronaldo anarudi Man United? Vipi Benitez anaweza kuwa chanzo cha tofauti zao?
Zaidi ya saa 48 zimepita toka habari kuhusu uhusiano mbaya kati ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo na kocha wa Real Madrid Rafael Benitez zianze…
Ilikuwa Man City VS Real Madrid July 24 2015 matokeo ni 4-1, pichaz na video za magoli yote hizi hapa..
International Champions Cup bado inaendelea Australia kwa timu tatu kushiriki ambazo ni Manchester City kutokea Uingereza, Real Madrid ya Hispania na AS Roma ya Italia... Michuano imeandaliwa na kampuni ya…
Mwimbaji wa Skylight Band kavamiwa Temeke, kamsimulia Soudy Brown kilichomkuta… (Audio)
Msanii wa Skylight Band, Joniko Flower alipatwa na matatizo usiku karibu na uwanja wa Taifa, Dar es salaam..pamoja na gari yake kugongwa wakati anaondoka eneo la tukio watu walimwita mwizi…
Ungetamani kuiona Moshi mtu wangu? Hapa nimekusogezea picha 21 za Moshi mtaa kwa mtaa
Karibu mtu wanguvu ambae umepita na kuhakikisha post hii haikupiti pia, unajua millardayo.com ni sehemu ambayo unakusanyiwa kila kitu ili upate updates za kila aina kutoka kokote kule, ikinifikia na…
Utaratibu mpya Korea ikifika saa 11 Alfajiri kila mtu anatakiwa kuwa Ofisini… Wataiweza kweli?
Headlines toka Korea Kaskazini sasa hivi ni kwamba hali ya hewa ni joto sana, lakini yapo mengine toka huko ambapo msimu huu wa joto kali umepewa jina la Sambok. “Ofisi…
DJ D Ommy kutua SA, Tamasha kubwa Dar Live, Hemed hafikirii kufanya kazi nje?..#255 (Audio)
DJ D Ommy amepata nafasi ya kwenda Afrika kusini kwa ajili ya NBA All Stars Pre Party..amesema meneja wa Diamond, Salam ndio alimconnect baada ya kuona na kuridhika na kazi zake…