Exclusive: Video ya Davido akiongea kuhusu ile beef yake na Diamond Platnumz
Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya 'number one rmx' na Diamond Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya…
Taylor Swift nae amuomba Nicki Minaj msamaha kwa kumshambulia Twitter..!
Kumekuwa na mivutano kati ya wasanii wa Kimarekani kwenye mtandao wa Twitter, tumeyaona ya Meek Mill akimshabulia Drake na ya Nicki Minaj kushambulia tuzo za MTV VMA's 2015. Baada ya…
Meek Mill amuomba Nicki Minaj msamaha kwa kumshambulia Drake Twitter… (Video).
Kwenye headlines sasa hivi ni issue ya Meek Mill kumponda msanii mwenzake Drake kwenye mtandao wa Twitter akidai kuwa Drizzy Drake haandiki mistari yake mwenyewe na hivyo sio Mcee King.…
Hakuna anayeogopa mafuriko au? Watu na maisha yao, nyumba zinaelea juujuu ya maji… (Pichaz)
Karibu mtu wa nguvu ambaye unavutiwa na pichaz za mijengo mikali kabisa… unajua ni kitu kinachovutia pia wakati mwingine kuona watu wakiwa na mijengo yao ambayo iko tofauti kabisa na…
Licha ya kufungwa 4-2 na New York Red Bulls Jose Mourinho hakaukiwi maneno
Baada ya klabu ya Chelsea kupoteza mchezo wa kwanza wa International Champions Cup dhidi ya New York Red Bulls kwa goli 4-2, kocha wa timu hiyo Jose Mourinho hakaukiwi maneno…
Arsene Wenger anafikiria kuhusu kustaafu? Huwa inamjia akilini, alafu…
Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger amedumu na klabu ya Arsenal kwa zaidi ya miaka 15 toka alipojiunga nayo 1996, Wenger anakuwa kocha wa pili katika historia ya…
Mtayarishaji Tuesday Kihangala kajibu malalamiko ya kutowalipa Witness pamoja na mpenzi wake… #UHeard (Audio)
Jana Witness alisikika kwenye U Heard, kwenye malalamiko yake ni kwamba alidai kampuni ya Tuesday Entertainment haijawalipa fedha zao za kufanya tamthilia ya High Heels kwa miezi nane sasa na…
TBT: Picha za utotoni za Mario Balotelli, Messi, Kaka na story zao za utotoni.
1. Lionel Messi Alizaliwa Juni 24 1987 Rosario Argentina baba yake Jorge Horacio Messi alikuwa mfanyakazi katika kiwanda cha chuma Argentina na mama yake Celia María Cuccittini alikuwa msafishaji. Akiwa na…
Ndoa ya Amini imempoteza kwenye game? Collabo ya Sauti Sol na WaTZ, ajali ya Jambo Squad..255 (Audio)
Kuna uhusiano wowote wa ndoa na staa kushuka kimuziki? Amini amefunguka kwenye 255 na kusema kwa upande wake haamini kuwa ukioa kipaji chako kinashuka..yeye binafsi anasema anashukuru kumpata mke ambaye…
Hamad Rashid Mohamed kuhusu kesi yake na CUF Mahakamani, kufukuzwa, kuuawa.. Kuchokwa? (Audio)
Hamad Rashid Mohamed alikuwa Mjumbe wa Baraza Kuu CUF, lakini baadae alifutwa uanachama January 4 2012 na Baraza la Uongozi la chama hicho kutokana na madai kuwa alikuwa akikihujumu Chama hicho.…