Matokeo haya yameirudishia matumaini Yanga kushinda Kagame Cup 2015…
Baada ya kupoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Gor Mahia, Yanga ilikuwa katika wakati mgumu wa kuweza kufufua matumaini ya kusonga mbele katika hatua inayofuata... Yanga leo hii imepata ushindi wa…
Hivi ndivyo Diamond Platnumz alivyotoa shukrani zake kwa support ya Watanzania MTV MAMA 2015… (Pichaz)
Ilikuwa furaha kumwona Diamond Platnumz akiwasili TZ kutokea South Africa akiwa na Tuzo ya MTV MAMA 2015 mkononi, ushindi huo sio kitu kidogo kwa sababu ni wasanii wachache sana…
Hata South Africa wana matatizo yao pia, mvulana apoteza maisha baada ya mchezo huu kwenda vibaya!
Loyiso kijana wa miaka 19 ameweka headlines kubwa sana jijini Johannesburg South Africa baada ya tukio la janga la treni kutokea mjini hapo. Kijana huyo aliyekuwa kwenye kipindi cha mitihani alifariki…
Maneno ya Louis van Gaal ina maana kakasirishwa na Schweinsteiger?
Matarajio ya mashabiki wa timu mbalimbali za soka duniani ikitokea wachezaji wamesajiliwa na timu zao kwa ada kubwa ya uhamisho, wanasubiri kuona wachezaji hao wanafanya vizuri katika timu mapema.. na…
Hii ndio hukumu iliyotolewa kwa mashabiki waliomsukuma mtu mweusi nje ya treni Ufaransa..
Unawakumbuka wale mashabiki wa Chelsea waliomshusha shabiki mwenzao kwenye treni ya Paris Metro kisa ana asili ya Afrika? Mahakana ya Stratford imewapiga marufuku kuhudhuria mechi zote za soka kwa miaka…
Ni kweli mali nyingi za 50 Cent ni za mkopo? Na vipi kuhusu mapato yake kimuziki!?
Ni siku chache tu zimepita toka rappa na mfanyabiashara 50 Cent aishangaze dunia na headlines zilizosema kuwa amefilisika, na badaae kusema kwamba amefanya hivyo kulinda maslahi yake ya kiuchumi. Headlines…
Kampuni ya Tuesday Entertainment imewadhulumu wasanii wake? Imemfikia Soudy Brown…#UHeard (Audio)
Soudy Brown amepiga stori na dada mmoja anayeitwa Witness ambaye amesema walianza kufanya kazi kwenye kampuni inayohusika na kutengeneza Movies ya Tuesday Entertainment... dada huyo anadai tangu mwaka jana mwezi wa 10…
Radio na Weasel kutoka Uganda wameitambulisha leo hii ‘Juicy Juicy’…(Video)
Radio na Weasel kutoka Uganda wamerudi tena kwenye headlines za burudani baada ya kuachia Video yao mpya inayoitwa 'Juicy Juicy' iliyoongozwa na Savy Filmz. Nakukaribisha uitazame hapa mtu wangu... https://www.youtube.com/watch?v=fbqVff8awR4…
Haya ndio maamuzi ya Wanafunzi Chuo Kikuu Nairobi kwa vile Obama hatowatembelea? (Pichaz & Video)
Babu Owino ni Kiongozi wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu Nairobi, aliwasilisha barua yake kwa Balozi wa Marekani ambaye yuko Kenya, ndani ya barua kulikuwa na Ujumbe wa Wanafunzi wa…
Collabo ya Diamond na D’Banj? Vanessa kazungumzia tuzo za MTV, ‘Dear God’ ya Kala imevuka lengo?..(255 Audio)
Diamond kambania collabo D'Banj? DBanj amesema aliwahi kukutana na Diamond na kutaka kufanya naye collabo lakini haikuwezekana.. sasa hivi wamepanga kufanya hivyo kabla ya mwaka kumalizika lakini hawajaweka wazi ni lini. Diamond…