Pilikapilika za Nairobi wanavyojiandaa kumpokea Obama… (Pichaz)
Kila ukiingia kwenye Mitandao ya Kijamii Kenya stori nyingi kubwakubwa na zenye headlines ni kuhusu ujio wa Rais Obama.. sio kitu kigeni kwa sababu hata alivyokaribia kuja TZ stori zilikuwa…
Hekaheka ya Housegirl mjamzito kufungiwa ndani ya geti siku nzima… (Audio)
Hekaheka ya leo inatokea maeneo ya Mbezi ambapo dada mmoja wa kazi za nyumbani amekuwa akifungiwa ndani ya geti lililofungwa kwa nje huku bosi wake akiwa kazini wakati ni mjamzito…
Nicki Minaj azishambulia Tuzo za MTV VMA 2015 atoa malalamiko yake Twitter, Taylor Swift amjibu!
Headlines kubwa sasa hivi kwenye industry ya muziki Marekani ni Tuzo za MTV VMA 2015 orodha yake ikiwa imetoka tayari ili watu wote waijue. Lakini kuna baadhi ya wasanii ambao…
Mastaa 10 wa Nigeria na magari yao >>>Wizkid, P Square, Kcee nao wamo… (Pichaz)
Nigeria ni moja ya nchi za Afrika ambazo zinaongoza kwa kuwa na mastaa wengi wanaofahamika zaidi kuanzia kwenye filamu na muziki lakini pia kwenye utafiti uliofanywa hivi karibuni ulilitaja hili taifa kuwa…
Navy Kenzo na Vanessa Mdee wameisambaza hii collabo “Game”- (Audio)
Good news kwa wale wapenzi wa Bongo Fleva kundi la Navy Kenzo limerudi kuziandika headlines za leo na ngoma yao mpya iitwayo Game waliomshirikisha Vanessa Mdee (VeeMoney). Kama wewe ni mpenzi…
Hivi ndio Man United ilivyoendeleza ubabe dhidi ya San Jose.. (Pichaz & Video)
Ikiwa kila timu ya Ligi kuu Uingereza imeonesha nia ya kujipanga katika msimu utakaoanza August 8 2015, Manchester United wameendeleza ushindi katika ziara yake ya maandalizi ya Ligi Kuu Uingereza. Man…
Azam FC imekamilisha usajili kwa Wachezaji wa Kigeni kwa kumsajili huyu.. (Picha)
Klabu ya Azam FC imekamilisha nafasi zake saba za kusajili raia wa kigeni kufuatia sheria iliyowekwa na Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) ambalo linaruhusu kusajili wachezaji wasiozidi saba raia…
MTV Video Music Awards 2015 ziko njiani hapa nina orodha kamili ya wale wote wanaowania Tuzo mwaka huu.
Tuzo za MTV Video Music Awards 2015 za Marekani zimewadia, vipengele na orodha kamili ya majina ya wale wote wanaowania tuzo hizo mwaka huu imetoka. Good news kwa wale mashabiki…
Maneno ya MSEKWA kwa KINGUNGE, LEMBELI na sababu za kumtoa CCM, BVR Dar ni leo..#MAGAZETINI JULY22
MWANANCHI Baada ya vuta vikuvute ya muda mrefu, hatimaye leo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinatarajia kumtangaza mgombea wake wa urais katika mkutano maalumu utakaofanyika jijini Mwanza. Habari zilizopatikana…
Inawezekana 2 Chainz kapigwa marufuku kuingia clubs za Las Vegas bila yeye kujua?!
Wiki chache zilizopita msanii wa hip hop kutoka Marekani 2Chainz aliweka headlines kubwa baada ya kuambiwa alipe fine ya dola milioni 5 kwa ugomvi aliouanzisha kwenye moja ya shows akiwa…