Davido kamtaja msanii mwingine anaefanya nae kolabo Tanzania
Davido ni msanii wa Nigeria ambaye jina lake lilizidi kutajwa sana Tanzania baada ya kufanya kolabo ya 'number one rmx' na Diamond Platnumz. Sasa July 18 2015 kwenye Exclusive interview…
Siku tatu kabla ya Obama kutua haya yameendelea kushuhudiwa Nairobi leo…
Ijumaa July 24 2015 Kenya itashuhudia kutua kwa Rais Obama kwa mara ya kwanza tangu awe Rais wa Marekani… Wamarekani wanajali sana kuhusu Usalama wa Rais wao, tulisikia ishu ya…
TFF imebadili Ratiba ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara, sababu ni hii hapa…
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limetangaza kubadili tarehe ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Soka Tanzania bara... TFF imefanya maamuzi hayo kufuatia kubadilishwa kwa kocha wa timu ya Taifa…
Kuna hivi viwanja 10 vya soka vilivyojengwa kwa gharama zaidi duniani (Pichaz)
Kuna nchi ambazo sehemu ya kitega uchumi kwao ni kwenye soka!! ukiachia miundombinu ya barabara na majengo mazuri,zipo nchi ambazo huthamini zaidi mpira wa miguu na zimejikuta zikiwekeza zaidi katika…
Man City Vs As Roma zilivyokipiga muda mfupi uliopita (Pichaz & Video)
Klabu ya Manchester City imeshuka dimbani leo hii kucheza mechi yake ya kwanza ya michuano ya International Champions Cup dhidi ya AS Roma ya Italia... Michuano hiyo inayoandaliwa na Audi…
Nay wa Mitego kanyang’anya vifaa vya studio? majibu yake yapo kwa Soudy Brown…#UhearD (Audio)
Kuna taarifa zilizagaa kuwa mmiliki wa studio ya Free Nation, Nay wa Mitego amegombana na Producer Mr. T Touch na kuamua kuchukua vifaa vyake vya studio kwa madai hutozwa fedha…
Van Gaal amzungumzia Ramos, na pia amedokeza juu ya usajili wa mshambuliaji mpya Man Utd
Zikiwa zimebaki wiki takribani wiki 5 kabla ya dirisha la usajili barani ulaya halijafungwa, kocha wa Manchester United - Louis van Gaal amesema kwamba klabu yake ipo sokoni kutafuta mshambuliaji…
Nay wa Mitego kamvalisha pete Shamsa?, Rabbit katua kufanya video, Crazy GK kauzungumzia muziki wa TZ..#255 (Audio)
Rabbit msanii kutoka pande za Kenya amedondoka Bongo kufanya video na G Nako, Joh Makini,Rich Mavoko..amesema amekuja kufanya kazi na Director wa huku..anataka kujaribu kufanya kazi na watu mbalimbali. Pia…
Kwenye HekaHeka leo Daktari kazungumzia kuhusu ugonjwa wa degedege kwa watoto..(Audio)
Jana Hekahaka ilimuhusu yule mama mwenye watoto wenye ulemavu wa kupooza ambaye alirudi kuwashukuru Watanzania kwa kumsaidia...watoto wake mmoja ana miaka 12 na mwingine miezi saba wameanza mazoezi ya viungo…
Maneno ya Mbunge James Lembeli alivyotangaza kuhama CCM kwenda CHADEMA leo July 21 2015… (Audio)
2015 ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu Tanzania, kila siku stori za Siasa zimekuwa kwenye headlines nyingi kuanzia Magazetini, kwenye TV, Radio na hata mitandaoni. Mbunge James Lembeli alikuwa pia ni…