Stori kubwa mbili kutoka ITV >>> CUF kutoshiriki Kikao cha UKAWA, Mzee Kingunge kuhusu Mgombea wa CCM na LOWASSA..
Jana kulikuwa na Kikao cha Umoja wa Vyama vya UKAWA, lakini katika Kikao hicho hakukuwa na Kiongozi yoyote wa CUF, mitandaoni kukaanza kutembea uvumi kuhusu kutokuwepo kwao. Nilikutana na #Tweets…
DC Paul Makonda alivyokutana na vijana wanaosaka ajira katika Viwanja vya Leaders Dar (Pichaz)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni DC Paul Makonda hii sio mara ya kwanza kuingia kwenye Headlines akizungumzia tatizo la ajira, ndiye aliyeianzisha Kinondoni Talent Search ambayo iliwakutanisha vijana wenye vipaji…
Mtanzania mwingine kwenye headlines za soka Ulaya
Charles Misheto anaingia katika headline tena ya kuongeza idadi ya wachezaji wa kitanzania wanaocheza soka la kulipwa nje ya mipaka ya Tanzania, taarifa hiyo inakuja ikiwa ni siku chache tu…
DMX kwenye headlines, ajikuta matatani baada ya hukumu hii kutolewa Mahakamani!
Headlines kwenye kurasa za burudani siku ya leo zinaandikwa na rappa maarufu kutoka Marekani, DMX. Mwanzoni kulikua na kesi inayomhusu DMX kukwepa majukumu ya kumtumia aliyekuwa mke wake hela ya…
Mkubwa Fella kajibu haya kuhusu ishu ya yule dada aliyedai kuitwa Dar na Dogo Aslay… #UHeard (Audio)
Jana Soudy Brown kapiga stori na binti aliyedai kuwa Dogo Aslay alimwambia aje Dar ili wakutane na kuweza kumsaidia kupata kazi. Leo Said Fella kasikika na kusema hao ni matapeli waliotumia…
Ngoma za Young Killer hazifanyi vizuri? Dogo Janja atabadili jina? Izzo B na ngoma za Siasa? #255
Rapper mdogo anaewakilisha Rock City TZ, Young Killer amesema ngoma zake kutosikika kwenye redio sio kwamba zimechuja bali bado zinampa heshima na kumuweka kwenye nafasi nyingine ambayo hakuwa nayo... ana…
Said Fella yuko serious kabisa na Udiwani wa Kilungule, leo kasogea hatua moja mbele..
Mkurugenzi wa Yamoto Band na Wanaume Family, Said Fella aka Mkubwa Fella alionesha mapema kabisa leo July 15 amechukua fomu ya kugombea udiwani wa katika mtaa wa Kilungule, Wilaya ya Temeke…
Diamond kayajibu haya akiwa Kenya >>> Zari kujifungua, yeye na Siasa.. Mapenzi yake na Zari, MTV, Collabo na Ludacris..
Moja ya Watangazaji wenye majina makubwa East Africa ni Mtangazaji kutoka Citizen TV na Radio, Nairobi Kenya.. Anaitwa Mzazi Willy Tuva, nimekutana na post zake nyingi siku ya leo July…
Nimekusogezea vitu tofauti usivyovijua kuhusu mastaa hawa 10 na PICHAZ zao!
Kuna mastaa wengi duniani tunaowajua na kuwapenda sana, na kuna wengine tunatamani kuja kuwa kama wao. Lakini sio kila kitu kuhusu mastaa hawa tunavijua, wengi tunawapenda lakini kuna vitu flani…
Hizi ndio sababu za CUF kutoshiriki Mkutano wa UKAWA Dar es Salaam…
Ziko stori nyingi toka jana mitandaoni, wapo waliopata taarifa pia kwamba chama cha CUF kimejitoa kwenye Umoja wa UKAWA, lakini hakuna msemaji rasmi aliyezungumzia ishu hiyo. UKAWA jana walikutana na…