Wivu wa mapenzi ukafikia hapa, mmoja Hospitali mwingine Polisi… #Hekaheka (Audio)
Hekaheka ya leo inatokea Mbeya baada ya dada mmoja kupigwa sana na wifi yake ambaye ni mdogo wa mume wake kwa madai kuwa anamtafutia mume wake wanawake. Mpaka sasa dada…
Isome hii mipango ya Real Madrid kuhusu kumsajili golikipa David de Gea
Golikipa wa Manchester United David de Gea inadaiwa ameahidiwa pound milioni 3.5 na klabu ya Real Madrid kama akikubali kujiunga nao katika msimu ujao wa usajili wa majira ya joto.…
Kwenye viwanja vya World cup 2018 ndani ya Russia viko na hivi vitano….(Pichaz)
Kombe la dunia linatarajia kufanyika mwaka 2018 na tayari Shirikisho la soka duniani FIFA limeitangaza nchi ya Russia kuwa wenyeji wa michuano hiyo mikubwa zaidi duniani. Tayari Russia imeanza maandalizi…
Nay Wa Mitego katusogezea ‘Sina Muda’ kwenye hii Video..!!
Wakati mashabiki wa Nay wa Mitego wakisubiri kwa hamu video ya 'Mapenzi au Pesa', mwenyewe tayari ameachia video ya ngoma yake nyingine mpya ya 'Sina Muda'. Itazame hapa mtu wangu...…
Hii ndio style ya kuvaa Ofisi nzima ili upumzike kutabasamu kwa wateja?
Pata picha unaingia Benki unakutana na kila mtu ndani kavaa kinyago cha kuficha uso mtu wangu? Jamaa wako serious kabisa China, Kampuni moja iliyopo Handan, Kaskazini mwa Jimbo la Hebei, China…
Sterling kathibitisha furaha yake baada ya kujiunga na Klabu ya Man City… (Video)
Baada ya kuvunja rekodi ya uhamisho kutoka Liverpool kwenda Manchester City Mshambuliaji Raheem Sterling amethibitisha kuwa na furaha kubwa baada ya kujiunga na klabu hiyo. “Najisikia vizuri, ni wakati furaha kwangu na…
UKAWA na mgombea wao, MAGUFULI afunguka Urais na shuhuda tukio la uvamizi Polisi…#MAGAZETINI JULY15
MWANANCHI Mambo yamekuwa mazito. Ndivyo inavyoonekana baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kushindwa kutangaza mgombea urais jana badala yake ukatoa ahadi mpya kwamba sasa…
Azam yathibitisha kuinasa saini ya huyu mwingine kutoka Rwanda…
Kiungo wa kimataifa wa Rwanda anaekipiga katika klabu ya APR ya Rwanda Jean Baptiste Mugiraneza jana July 14 2015 amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu ya Azam FC. Kiungo huyo…
Magufuli Dar, Polisi na uvamizi Stakishari.. Dawa za Kulevya Airport, Rais UKAWA.. Zisikilize stori zote hapa
Uchambuzi wa magazeti redioni leo umekupita? Nimekurekodia stori zote za magazetini zilizosikika @Clouds.Fm zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa. Dk. John Magufuli amesema hataogpa mtu yoyote katika utendaji kazi…
Hizi ndio stori kwenye Magazeti 17 ya Tanzania July 15 2015 >>> Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wa nguvu.. millardayo.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi. Ninayo tayari hii post ya Magazeti 17 ya Tanzania leo July 15 2015, story zote kubwakubwa…