Maneno ya Dk. Magufuli ndani ya dakika 18 baada ya kupokelewa na watu wa Dar es Salaam… (Audio)
July 14 2015 Dar es Salaaam imemkaribisha Mgombea Urais ambaye amepitishwa na CCM pamoja na Mgombea Mwenza... Hii ilikuwa safari ya kutambulishwa Mgombea Urais John Pombe Magufuli pamoja na Samia…
Haya ndio mapokezi ya Dk. John Magufuli ndani ya Dar es Salaam July 14 2015… (Pichaz)
Jina la Waziri Wa Ujenzi Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli lilipata Headlines zenye uzito zaidi baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumtangaza kwamba ndiye Mgombea Urais aliyepitishwa na Chama hicho…
Umemiss story Exclusive pamoja na Pichaz za mastaa kwenye Magazine? Baabkubwa ina vyote mtu wangu..
Kama wewe ni mtu wa Magazine na mastory yake Exclusive pamoja na pichaz za mastaa, time hii BaabKubwa Magazine liko tayari mtaani, unatamani kuona yaliyomo. Ni pichaz baada ya Pichaz…
Alitamani Facebook ya bure..kilichomkuta ni stori nyingine!!
Mitandao wa kijamii imeendelea kupata mashabiki wengi duniani na imesaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha mawasiliano baina ya watumiaji wake. Pamoja na faida tuna zozipata kupitia mitadano kuna wale wengine ambao…
Hawa maharusi wengine wamechagua jeneza kuongeza mvuto kwenye sherehe yao…(Pichaz)
Stori za watu kutumia jeneza katika shughuli zao mbalimbali zimeendelea kutokea sehemu nyingi duniani..Millardayo.com iliwahi kuandika stori ya bibi harusi kutumia jeneza kuingia nalo ukumbini na nyingine ilimuhusu mwanafuzi kuingia…
Mambo ni moto Nairobi mtu wangu, hizi ni dalili Rais Obama hayuko mbali… (Pichaz)
Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta umekuwa busy sana zaidi hata ya ambavyo ulikuwa siku za nyuma.. unaambiwa kila siku hakukosekani stori kutoka Nairobi Kenya kuhusu ugeni wa Rais Obama.…
Pamoja na ulinzi mkubwa Gerezani, muuza unga wa Mexico alitorokea kwenye tundu hili.. (Pichaz)
Joaquin "El Chapo" Guzman ndio jina la mfanyabiashara wa Mexico ambalo limechukua headlines kubwa kwa siku kama tatu hivi mfululizo, jamaa ni mfanyabiashara mkubwa wa dawa Kulevya, kile kitendo cha…
Pichaz na Video ya mapokezi ya Tevez ndani ya Boca Junior unaweza kuzicheki hapa..
Carlos Tevez amerejea katika klabu yake ya zamani ya Boca Juniors iliopo nchini kwao Argentina baada ya kutumia miaka 11 kucheza soka barani Ulaya... Tevez amepokelewa kishujaa na mashabiki na…
Dada kafunga safari hadi Dar kumfuata Aslay… Zisikilize stori zake kwa Soudy Brown hapa #UhearD (Audio)
U Heard leo Soudy Brown kampata msichana ambae ametoka Mkoani kuja Dar kwa ajili ya kukutana na Aslay wa Yamoto Band.. Msichana huyo anadai ametoka Geita kuja Dar kukutana na Aslay. Dada…
Ruge na wasanii wanaofanya Video nje, kazi za wasanii kwenye Supermarkets? Baba Levo kaja na Mgodi wa Diwani..255 (Audio)
Baada ya Serikali kutangaza rasmi kukitambua kituo cha THT, leo Ruge Mutahaba amesema wasanii wengi hupenda kufanya video zao nje ya nchi..hii inatokana na utaalamu pamoja na vifaa...anasema ni vyema…