Kwa hii ndege unaambiwa New York mpaka London ni saa tatu tu !!
S-512 Supersonic Jet ndio ndege ambayo baada ya kunifikia Ripoti yake ilibidi nishtuke kidogo... eti New York Marekani mpaka London Uingereza ni safari ya saa tatu?? Nimepita mitandaoni ili kuangalia…
Kuwa na pesa sio kitu kinachompa furaha Bilionea wa Facebook !! Yako majibu yake hapa..
Hakuna mtu hapendi kuwa na furaha mtu wangu, wapo wanaodhani kuwa ili uwe na furaha ni lazima uwe na pesa.. Mark Zuckerberg ni Mwanzilishi na Boss wa Facebook, yeye amesema…
Airtel Fursa imemuwezesha huyu mwingine kuzifikia ndoto zake, stori yote iko kwenye Video hapa..
Airtel Fursa iko kwenye na mengine mapya July 14 2015 mtu wangu. Mtandao wa Airtel uko na watu wake kila wakati, Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya…
Mashuhuda, watoto waliopotea wasimulia uvamizi kituo cha Polisi Stakishari ..#Hekaheka (Audio)
Usiku wa kuamkia jana jumatatu kituo cha polisi cha Stakishari kilichopo, Ukonga,Dar es salaam kilivamiwa na majambazi na kusababisha vifo vya askari wanne, raia wawili na jambazi mmoja. Hekaheka ilifunga…
Sir Ferguson anawashangaa Juventus kuhusu uamuzi wao kwa Paul Pogba..
Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United ya Uingereza Sir Alex Ferguson ameshangazwa na uamuzi wa klabu ya Juventus ya Italia kusuasua kufanya maamuzi ya kumuuza kiungo Paul Pogba…
50 Cent kafikishwa Mahakamani na anadaiwa faini, ni kweli amefilisika??
Kumekuwa na stori nyingi kuhusiana na rapper 50 Cent kutoka Marekani, moja kubwa kuhusu yeye ilikuwa ni stori inayohusiana na yeye kuvijisha video ya ngono ya mwanadada Lastonia Leviston ili kumuaibisha…
#MAGAZETINI JULY14…Idadi ya vijana wenye Ukimwi, NEC yatangaza majimbo mapya na Mgombea adai milioni1 yake.
MWANANCHI Wakati vijana 40,000 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wakibainika kuambukizwa ugonjwa Ukimwi jijini Dar es salaam, viongozi, wabunge na wafanyabiashara wametajwa kuwa vinara wa kusambaza ugonjwa…
Lil Wayne karushiwa chupa na Birdman night club akashtukia.. tukio lilirekodiwa kwenye hii video.
Kwa muda mrefu sasa hivi kumekuwepo na beef kati ya rapper Lil Wayne na Birdman wa Cash money na hii ni baada ya Wayne kujitoa Cash Money kwa kutoridhishwa na…
Tukio la ujambazi Dar, UKAWA na mgombea Urais, NEC kuongeza majimbo? >>>Stori Kubwa (Audio)
Inawezekana ulikuwa mbali na redio yako na Uchambuzi wa magazeti redioni kupitia @CloudsFM ulikupita, ninazo hizi stori kubwa zilizochambuliwa leo July 14 2015. Stori iliyochukua nafasi kubwa kwenye Magazeti ya leo…
Kwenye midundo mipya ya Afrika, hii video mpya ya Gboza imo pia na Davido ndani.
Kila siku vituo vya redio na TV Afrika vinapokea mamia ya kazi mpya kutoka kwenye midundo ya Afrika ambapo wiki hii hii ya R2Bees - Gboza ft. Davido ni moja…