AyoTV: Lulu amejibu kwanini aliifuta account yake ya Instagram? ni noma je?
Mwigizaji Elizabeth Michael 'Lulu' alikua na time ya kukaa mbele ya camera ya AyoTV na kuzungumzia ishu kadhaa ikiwemo movie yake mpya inayokuja lakini pia aliulizwa swali la kwanini aliifuta…
Miji ya watu inavyobadilika… hizi picha ni za Shanghai moja ya 1990 nyingine ya 2010.
Ni miji mbalimbali na historia zake ambapo leo nakusogezea huu wa Shanghai ambao upo China, ni mji ambao unashikilia rekodi ya Mji wenye watu wengi zaidi China na mpaka mwaka…
Kama uliikosa hotuba nzima ya Rais Kikwete July 9 2015.
Kama ulikosa time ya kumtazama au kumsikiliza Rais Kikwete kwenye hotuba yake akilivunja Bunge Dodoma June 9 2015 unaweza kuutumia muda wako kumsikiliza hapa chini. Amezungumzia ishu nyingi sana ikiwemo…
Nollywood kuibeba Nigeria kiuchumi? Ripoti ya Umoja wa Mataifa Tume ya Kimataifa ya Biashara imeeleza haya!
Nimekutana na makala inayozungumzia ukuwaji wa tasnia ya filamu nchini Nigeria, je unajua ya kuwa Nigeria inatengeneza zaidi ya movie 50 kwa wiki moja tu? Na ina toa ajira kwa…
Asamoah Gyan katua China, unajua analipwa kiasi gani kwa wiki?
Nahodha wa timu ya taifa ya Ghana Asamoah Gyan leo amethibitisha kujiunga na klabu ya Shanghai SIPG ya China kwa mkataba wa miaka miwili. Nyota huyo aliyeisaidia timu yake ya…
Yemi Alade tena kwenye Headlines, kaja na hii ‘Na Gode’ Feat.Selebobo…(Audio)
Baada ya nyimbo ya 'Johnny' na 'Tangarine' kufanya vizuri kwenye vituo mbalimbali vya habari za burudani, Staa wa Nigeria Yemi Alade karudi tena kwenye Headlines za burudani leo baada ya kauchia ngoma…
Maneno ya Aunty Ezekiel kuhusu tattoo yamemfikia Soudy Brown…#Uheard (Audio)
Leo mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose Iyobo ametimiza siku 40..katika ukurasa wake wa @Instagram leo Aunty aliweka picha ikionyesha amejichora jina la mtoto wake Cookie na baba wa mtoto…
Rais JK kasikika kuhusu mafanikio yake, mkataba wa Hbaba ndani ya Toto Africans je? Young D na uchaguzi mkuu…255 (Audio)
Rais Kikwete jana wakati akivunja Bunge la 10 alizungumzia mafanikio yake kwa kipindi chote cha miaka 10...kwa upande wa michezo alisema waliweza kuwalipa makocha katika soka, Netiboli na riadha lakini…
Hekaheka ya leo kasikika Grace Matata na Isha Mashauzi…(Audio)
Isha Mashauzi na Grace Matata wamesikika kwenye Hekaheka ya leo...kila mmoja anamiliki Bendi yake mwenyewe ambapo Isha anamiliki Mashauzi Classic na Grace nae anamiliki Live Band. Grace anasema kwenye Live…
Seyi Shay alishawahi kufanya tour na Beyonce? changamoto na fursa kwenye muziki je!?
Deborah Oluwaseyi Joshua ni msanii kutoka Nigeria anayefahamika zaidi kwa jina la Seyi Shay. Seyi Shay ni mtunzi nyimbo, recording artist, performer na producer wa muziki aliyekulia Uingereza. Ameshwahi kuwandikia wasanii…