Mgombea Urais kupitia CHAUMMA kayazungumza kuhusu idadi ya Wabunge wao, madiwani… (Audio)
Tukiwa bado kwenye headlines za Uchaguzi 2015 nakusogezea hii stori kutoka kwa mgombea Urais kupitia chama cha Ukombozi wa Umma, Hasheem Rungwe. Ripota wa millardayo.com alipata nafasi ya kupiga stori…
Kama asingekuwa msanii wa HipHop, unajua Drake angekuwa nani leo?
Rapper kutoka lebo ya Cash Money Records, Drake ni msanii wa vipaji vingi sana... kwanza ana uwezo wa kuimba na kurap kwa wakati mmoja, lakini kitu kingine kuhusu yeye ambacho…
Mengine kuhusu ajali ya mbunge kwenye helikopta, imelipuka? Hali ya Rubani na Mbunge?.. Majibu ya Waziri Nyalandu
Ni stori iliyoanza kuchukua nafasi kubwa sana katika mitandao mbalimbali usiku wa kuamkia October 16 2015 headlines za siasa Tanzania zimetawaliwa na ajali ya Helikopta ambayo imeanguka kwenye mbuga ya Wanyama…
Kumbe Italy ukiangalia picha za utupu kazini sio tatizo, kukutwa na bangi je ?!
Kwa Sheria za kazi hapa Tanzania ukikutwa unafanya baadhi ya vitu kama, kuvuta sigara au kunywa pombe ukiwa kazini inaweza kukusababishia matatizo makubwa ikiwemo kufukuzwa kazi... lakini hii kwa wenzetu…
Picha 21 kutoka Mkoa wa Katavi, hizi ni kuanzia Airport mpaka Mtaani …!!
Mkoa wa Katavi ni moja ya Mikoa mipya ambayo ilitangazwa mwaka 2012, huu Mkoa una Wilaya mbili, Wilaya ya Mlele na Mpanda, na ndio Mkoa ambao anatoka Waziri Mkuu wa Jamhuri ya…
Lowassa na NEC ? Barabara za juu Dar? NEC na Daftari la Wapigakura je? Zote hizi hapa kwenye sauti yake.. #StoriKubwa
Good Morning mtu wangu, ni asubuhi nyingine ambayo siku zote lazima ianze na uchambuzi wa magazeti redioni @CloudsFM, ninazo zote kubwa za leo kutoka kwenye kurasa za magazetini Tanzania. Aliyekuwa…
Milango ya Cinema iko wazi leo Dar es salaam na Arusha, movie zinazoonyeshwa nimekuwekea hapa na Trailer
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam na Arusha ratiba ya movie na Trailers zake nimekuwekea hapa mtu wangu. Location ni…
Duh! Video mpya ya Vanessa Mdee ‘Never Ever’ imegharimu kiasi hiki…!
Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ni miongoni wa wasanii wa kike kwenye game ya muziki Tanzania ambao wanajituma sana kufanikisha malengo ya kutengeneza muziki mzuri... siku chache zilizopita Vanessa…
Bado siku 9….. hizi ni picha za CCM na UKAWA ndani ya saa 24 zilizopita.
Kwenye hizi siku chache zilizobaki kabla ya Watanzania kupiga kura, headlines za siasa bado ni nzito kila mahali ambapo kwenye headlines za saa 24 zilizopita hizi ndio picha za matukio yenyewe…
Magazeti ya Tanzania leo October 16, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Octoba 16, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…