Mzee Yusuph ametangaza rasmi anautaka Ubunge, maneno yake ninayo hapa
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa mwimbaji wa Taarab, Mzee Yusuph ambaye amefunguka na kusema kuwa mwaka huu anatarajia kugombea ubunge kupitia chama tawala cha Mapinduzi 'CCM' visiwani…
Maandalizi ya mapokezi ya Rais Obama Kenya yamefikia hapa..
Zimebaki kama wiki mbili hivi ugeni wa White House utue pale Jomo Kenyatta International Airport, Nairobi Kenya kama ambavyo iliahidiwa. Safari ya kihistoria ya Rais Obama ndani ya Kenya inakaribia,…
Hii ndio list ya Mabondia sita wanaomsubiri Floyd Mayweather ulingoni..!! (Pichaz)
Kwani Floyd Mayweather kafilisika? kaamua kuususa mkanda wake? au ndio mwendelezo wa zile mbwembwe zake? Kweli kaamua kuuachia mkanda wake hivihivi kisa deni la Mil 446? Story ya mwishomwisho kusikika…
Nimeipata nyingine mpya ya Nigeria, DJ Exclusive Feat. Davido ‘Wo Le’ (Video)
Davido ni mmoja wa wasanii wenye majina makubwa Afrika, tunaendelea kumuona kwenye collabo baada ya collabo. Dj Exclusive ameamua pia kumshirikisha staa huyo katika Video yake mpya inayoitwa 'Wo LE' iliyoandaliwa…
Kilichojadiliwa kwenye Kikao cha CCM Dodoma, Waziri Mkuu, Urais, Makundi.. Maneno ya Rais JK
Stori kuhusu Siasa zinapewa nafasi kubwa sana sasa hivi, Tanzania inaingia kwenye Uchaguzi Mkuu Mwezi October 2015... Tayari wapo waliotangaza Kugombea nafasi mbalimbali lakini macho ya wengi yako kwenye nafasi…
Majibu ya Wema Sepetu kwa waliosema siasa imeingiliwa baada ya yeye kutangaza nia, pia aliyeigiza sauti yake.
Mwigizaji Wema Sepetu alifanya Interview na mtangazaji Millard Ayo kuhusu ishu kadhaa zinazohusu kutangaza kwake kuingia kwenye siasa ambako anagombea viti maalum ambapo amejibu comments za watu waliombeza kwa kusema…
DEWJI aliza wapigakura, familia yateketea moto na wazirai kwa kukosa pombe…#MAGAZETINI JULY9
UHURU Watu wanne wamezirai na kukimbizwa katika hospitali ya Nyahururu, Kenya baada ya kuzidiwa kwa kukosa pombe. Kulingana na madaktari katika hospitali hiyo, wanaume hao walilazwa baada ya juhudi za…
Wabunge wamegoma? Wakuu wa Mikoa kurudi Shule? Tume ya NEC.. Bodaboda na wanawake? >> StoriKUBWA (Audio)
Kama hukuwa karibu na radio yako, ukapitwa na Uchambuzi wa stori za Magazetini July 09 2015, hapa ninacho kilichosikika na nimenukuu baadhi ya sentensi toka kwenye stori zote. Wabunge wagoma…
Maneno ya Diamond Platnumz kuhusu beef, timu za Insta na facebook, uchawi na wanaompigia kura Davido mengine.
Diamond Platnumz alikaa kwenye Exclusive Interview na XXL ya CloudsFM na kuzungumzia ishu mbalimbali ikiwemo beef na Ali Kiba, team za Instagram ambazo nyingine zimekua zikihamasisha Davido apigiwe kura na…
Nguvu za giza zilianzia kwenye ndoto, Mbunge Joshua Nassari anaeleza alivyoanguka na hii Helicopter
July 7 2015 zilitoka taarifa za ajali ya Helicopter iliyokua imebeba Wanachadema Arusha akiwemo Mbunge Joshua Nassari wa Arumeru Mashariki, millardayo.com imepata nafasi ya kuongea nae akiwa hospitali. https://www.youtube.com/watch?v=hYKHqpj8O3Y Ungana…