Nimekusogezea ngoma tatu mpya za Young Thug: First Up, Calling Your Name na Like. (Audio)
Msanii wa Hip Hop anaye vuma kwa sasa Young Thug jana alitangaza kusogeza mbele tarehe ya uzinduzi wa Album yake mpya Slim Season, lakini habari nzuri kwako mtu wangu ni…
Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JULY 6, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Ndege ya abiria ikiyumba hivi angani hata mimi nitaogopa…. ikitua salama mnampigia Rubani makofi.
Wanasema usafiri wa ndege ndio usafiri salama zaidi duniani huku uwezekano wa ajali ukiwa ni tone katika safari mamilioni zinazofanywa kila siku ila pamoja na hayo, usafiri wa ndege huwa…
Maneno ya Rais Kikwete kuhusu Wanasiasa wanaomwaga fedha!
Yafuatayo ni maneno kwenye mistari tofauti iliyoandikwa na Rais Jakaya Kikwete ikiwa ni miezi mitatu tu imebaki Tanzania kuingia kwenye uchaguzi mkuu wa Rais na Wabunge. Hii ni tweet ya…
Video ikionyesha walichokifanya Abdu Kiba na Ruby nyuma ya Camera!
Ni dakika chache ambazo zinakutangulizia kuona kitachofata kwenye video mpya ya Abdu Kiba ft. Ruby (Ayaya) ambayo ni single mpya kwenye radio kwa wiki kadhaa sasa hivi. Location ya hii…
Nimekusogezea wimbo mpya wa Kendrick Lamar: Alright. (Video)
Kendrick Lamar ni msanii wa HipHop ambaye anatamba na album yake mpya iitwayo Pimp A Butterfly, album ambayo inafanya vizuri Marekani. Kendrick ameona asikae kimya sana, ameamua atusogezee video mpya…
The Game amerudi tena na single mpya: Everybody On The Floor (Audio)
Msanii maarufu kutoka kwenye lebo ya G-Unit The Game leo ameachia single yake mpya iitwayo Everybody On The Floor, ndani msanii kutoka Atlanta Migos amesikika. Kama bado hajapata nafasi ya…
Uamuzi mgumu wa uongozi wa Shirikisho la soka Nigeria kwa kocha wa timu ya Taifa…
Shirikisho la soka Nigeria NFF baada ya kupitiwa taarifa za Kamati ya Nidhamu, Ufundi na Maendeleo. limefikia uamuzi wa kumtimua kazi kocha mkuu wa timu ya Taifa 'Super Eagles', Steven Keshi…
Alimkata mwanaye vidole vya mikono kisa kaiba nyama… Polisi hawakumuacha
Matukio ya wazazi kunyanyasa watoto tena hata wa kuwazaa wenyewe bado yameendelea kutokea kila wakati sehemu mbalimbali duniani. Huko Nigeria kuna stori inamuhusu baba mmoja..eti kaamu kukata vidole vya mwanae…
Pichaz 10 za Wyne Rooney akila bata na familia yake visiwa vya Barbados…
Wachezaji wengi wa ligi kuu ya England na hata ya Tanzania bara kwa sasa wapo katika mapumziko mafupi baada ya ligi kuu kumalizika huku wakisubiri msimu mpya kuanza. Wanasoka wengi…