Utapenda kuisikia ngoma hii ya Dej Loaf na Big Sean: Back Up (Audio)
Rapper Dej Loaf ni staa wa Hip Hop wa Marekani anaeyekua kwa kasi sana, alianza kufanya muziki rasmi mwaka 2011 na mwaka 2012 alidondosha single yake ya kwanza iitwayo Just…
Eminem amerudi na ngoma mpya Kings Never Die, pembeni Gwen Stefani.(Audio)
Msanii wa Hip Hop Marekani Eminem alikuwa kimya kwa muda lakini sasa amerudi tena kuziandika headlines zake kwenye ubao wa burudani. Eminem ameachia ngoma mpya wiki hii, ndani kamshirikisha…
Jamaa kalikimbia begi lake ndani ya basi, hiki ndio ambacho Askari wamekuta ndani !! (Picha & Audio)
Mara nyingi tunasikia stori kuhusu watu kukamatwa na dawa za kulevya kwenye viwanja vya ndege, wapo wanaotoka TZ kwenda nje na wapo wanaokamatwa wanaziingiza pia kutoka nje ya nchi.. nina…
Kampuni ya China na hii sheria ya kuwanyima wafanyakazi wake kushika mimba
Ripoti iliyotoka mwaka 2014 inayohusu idadi ya watu duniani ilionyesha China ina watu bilioni 1.3..Katika vitu ambavyo walivifanya ili kupunguza watu walipitisha sheria ya kila wanandoa mwisho wa kuzaa ni…
Breaking News: Baada ya kuondoka Man Utd, Falcao arudi tena kucheza EPL
Miezi takribani miwili baada ya klabu ya Manchester United kuamua kutoendelea kupokea huduma za Radamel Falcao kwa kutompa mkataba wa kudumu, mchezaji huyo wa Colombia amepata timu mpya ndani ya…
Yaone mengine mazuri ndani ya ndege za Qatar Airways na ubora wake kwenye hizi picha 15
Wapo wanaoogopa kusafiri kwa ndege kabisa, lakini haimaanishi kwamba usafiri wa ndege ni hatari au sio salama kabisa, kwa wataalam wanasema ndege ndio usafiri salama namba moja Duniani. Ripoti za…
Shilole kayatoa haya mengine kuhusu yeye na mzazi mwenzake…#UhearD (Audio)
Baba wa mtoto aliyezaa na Shilole amejitokeza na kulalamika kusingiziwa na msanii huyo kuhusu kumbaka..na kusisitiza alikua na uhusiano naye na amekana kumbaka. Shilole amezungumza na Soudy Brown na kusema…
Mkataba wa Hamis Kiiza na Simba uko hapa mtu wangu…
Mshambuliaji wa kimataifa kutoka Uganda Hamisi Kiiza amefanikiwa kufuzu vipimi vya afya yake na tayari amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu ya Simba ya Dar es Salaam. Kiiza alitua jana…
Diamond kacopy Video ya Nana? Belle 9 hana habari na mitandao ya kijamii, Mb Dog na muziki je?..#255 (Audio)
255 imepiga stori na 255 Mb Dog amesema bado ana mpango wa kuendelea kufanya kazi na msanii mwenzake Madee kwa sababu ni mtu wake wa karibu ingawa hawajakaa karibu kwa…
Pipi na mume wake wanatumia simu moja!? Mkasa wa Ally Nipishe na wizi!? #Hekaheka (Audio)
Leo kwenye Hekaheka ya @CloudsFM alikuwepo Ally Nipishe, moja ya jamaa ambao waliwahi kufanya poa kwenye Bongo Fleva alafu baadae akawa kimya hivi, viko vingi vilitokea katikati na sisi hatukujua kuhusu hilo,…