Nimepita kwenye Barabara za Mabasi ya Mwendokasi Dar, kabla hazijaanza kutumika tayari kuna uharibifu.. (Pichaz)
Ni good news kwamba kuzinduliwa kwa barabara za Mabasi ya Mwendokasi kabla haujaisha mwaka 2015, watu wa Dar ambao wamepata matumaini mapya kwamba ishu ya tabu ya usafiri kuingia katikati…
Leo ni Shetta na biashara zake.. Diamond anautaka Ubalozi? Hongera kwa Fid Q… #255 (Audio)
Kwenye zile stori za burudani kupitia 255 leo, Shetta aliwahi kuingia kwenye headlines za kuhisiwa kwamba anajihusisha na uuzaji wa dawa za kulevya, leo kafunguka kuhusu biashara zake ambazo ni magari,…
Aliondoka kwa Birdman akarudi kwa Jermaine Dupri & sasa Bow Wow yupo na management hii..!
Baada ya kuachana na uongozi wa Young Money Cash Money Music & Management, rapper Shad Moss maarufu kama Bow Wow alisema kuwa alifanya maamuzi hayo sio kwa ubaya ila angependelea…
Hapa D’Banj pale Akon wanaungana tena kuileta mpyampya- ‘Frosh’ (Video)
Mashabiki wa D'banj walikuwa wakisubiri kwa hamu ujio wa video mpya ya ngoma yake inayoitwa 'Frosh'.. Good news ni kwamba staa huyo karudi kwenye headlines za burudani baada ya kuachia…
Ishu ni mke zaidi ya mmoja kwenye Hekaheka ya leo mtu wangu, matunzo inakuwaje? (+Audio)
Hekaheka ya leo watu wetu wa Leo Tena wameona wapige stori tofauti kidogo, ishu ni ndoa ya kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja. Mtangazaji wa Clouds TV, show ya Kambi…
Umewahi kuona kisiwa kinahama? Hiki hapa, unaweza kuhisi ni Boti au Meli ..!! (+Pichaz)
Ubunifu wa binadamu na maendeleo ya Teknolojia ni vitu ambavyo huwa vinatuletea mambo mapya kila siku, hakuna mtu asiyependa kusifiwa baada ya kufanya kazi nzuri.. ubunifu wa hiki kisiwa ni…
Weekend hii Chris Brown katudondoshea Video ya ngoma yake mpya ‘Liquor/Zero’
Weekend hii staa Chris Brown katudondoshea video ya ngoma zake mbili Liquor/ Zero kwa wakati mmoja zikionekana katikaVideo moja. Ngoma zote zipo katika album yake mpya 'Loyality' Karibu uitazame hapa…
Wajue Marais wa Afrika waliovunja rekodi kwa kukaa muda mrefu madarakani..
Nchi nyingi katiba huruhusu kiongozi wa nchi kukaa madarakani kwa mihula miwili lakini nyingine zimekuwa zikibadilisha katiba zao ili tu waendelee kubaki madarakani. Wapo marais wengine wa Afrika ambao wamevunja…
Mama wa mapacha watatu katelekeza watoto wote Hospital, anahofia malezi? Aliporudi kayajibu haya..
Kwa Tanzania ni kosa la jinai kutupa au kutekeleza mtoto mchanga, na sio Tanzania pekeake, sehemu nyingi Duniani ukitelekeza au kutupa mtoto sio kesi ya kusamehewa hata kidogo !! Jeaneta…
Mbatia & TWAWEZA, IPSOS na siasa?, Kikwete na Magufuli, Waangalizi EU + #RIP Celina Kombani. (Audio).
Uchambuzi wa magazeti leo 25 September 2015 umesikika moja kwa moja kutoka @CloudsFM 'The Peoples Station', na kama kawaida ripota wako wa nguvu anazo zile zote kubwa za leo kwenye…