Mtoto wa Beckham amelikataa soka? Haya ndio maneno yaliyomuumiza baba yake
David Robert Joseph Beckham ni staa wa Soka ambaye kastaafu Soka na kuacha Rekodi kubwa na nzuri zinazoheshimika Duniani, yako maneno kwamba maji hufuata mkondo, mtoto wa Beckham na Soka…
Mabasi 138 DART, dunia na mgogoro wa uhamiaji, Volcano kulipuka Arusha? Hukumu ya Mbasha leo… (Audio).
Kama kawaida Jumatatu ya kila wiki huanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, pengine ulikuwa mbali na radio yako na habari za magazeti zimekupita, ninazo hapa chini baadhi ya stori zilizosikika…
Ni Jumatatu Sept 21 2015 mtu wangu, stori kwenye kurasa za #Magazeti 22 ya Tanzania hizi hapa..
Jumatatu September 21 2015 stori baada ya stori zimegusa headlines Magazetini mtu wangu. Jumla ya Magazeti 22 yamenifikia leo, nimekusogezea yote hapa kurasa zake za mbele na za nyuma hakuna…
Baada ya siku 40: sura ya mtoto wa Diamond na Zari ndio hii imeonyeshwa kwenye picha !
Zimeshatimia siku 40 toka mtoto wa Diamond Platnumz na Zarinah Hassan azaliwe, anaitwa Tiffah.... ambapo siku hii kubwa ilikumbukwa na nyumbani kwa Diamond watu mbalimbali wakaalikwa kama ilivyo kwenye utaratibu.…
Ethiopia wameanza rasmi kutumia Treni za abiria zinazotumia umeme.
Nimepita kwenye page ya Facebook ya BBC Swahili nikakutana na hii stori ambayo nimeguswa kuishare hata hapa millardayo.com kuhusu nchi ya Ethiopia kuzindua Treni za umeme. Ripoti inasema Treni hizi…
Picha 20 za nyumba zilizomdatisha Millard Ayo Sept. 21 ! wenzetu wanavyopangilia
Ni segment ambayo itakua na maisha marefu kwenye millardayo.com manake kila siku watu wanafikiria kujenga au kurekebisha nyumba zao na hii inasaidia kukusafishia Idea yako kwenye kila unachokitaka au bora…
Sentensi 6 kutoka kwenye Twitter page za Edward Lowassa na Dr. John Magufuli.
Mitandao ya kijamii imekua ikitumika sana pia wakati huu wa kampeni kueleka kwenye siku kubwa ya Wananchi kufanya maamuzi ya nani aichukue nchi hii kwenye awamu ya tano kama Rais…
Uliipata Whatsapp ya kampuni za simu Tz kuagizwa kuzima DATA? majibu sahihi yako hapa
September 20 2015 nakuwa miongoni mwa Watanzania walioziona taarifa kupitia Whatsapp na mitandao mingine ya kijamii kwamba Umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania umetoa tamko la kupokea maagizo kutoka tume…
FC Barcelona Vs Levante matokeo ninayo hapa (+Pichaz&Video)
Klabu ya FC Barcelona imeshuka dimbani September 20 kucheza mechi dhidi ya klabu ya Levante katika uwanja wa nyumbani wa FC Barcelona Nou Camp. Wababe hao wa Hispania hadi kipindi…
Full Time: Man Utd vs Southampton na Liverpool vs Norwich Sept. 20.
Ligi kuu ya Uingereza Premier League imeendelea jioni ya September 20 2015 kwa game mbili kupigwa ikiwa ni Southampton vs Man United pia Liverpool vs Norwich. Manchester United ilifanikiwa kuchukua…