Huddah atangaza rasmi, huyu ndio mpenzi wake mpya.. watazame hapa wakiongea
Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika jumba la Big Brother msimu uliopita, Huddah Monroe ambaye pia alikuwa mpenzi wa rapper Prezzo, ametangaza kuwa kwenye penzi jipya na msanii mwingine wa Kenya…
Video: Yaya Toure alivyoipa ushindi Manchester City dhidi ya Stoke
Manchester City Vs Stoke City Yaya Touré 70… by JustTV99
Video: Angalia mabao ya Rooney na Van Persie dhidi ya Crystal Palace
Robin va Persie na Wayne Rooney jana waliiongoza Manchester United kupata ushindi baada ya takribani mechi 3 bila ushindi. crystal palace vs manchester united 0-2 all… by EplHighlights
Video: Arsenal walivyoiua Sunderland 4-1
Olivier Giroud alirudi dimbani jana kuifungia klabu yake ya Arsenal mabao mawili katika mchezo wa ushindi wa mabao 4 – 1 dhidi ya Sunderland. Laurent Koscienly na Thomas Rosicky pia…
Video: Angalia Chelsea walivyoitafuna Everton na kuzidi kujiimarisha kileleni
Chelsea jana waliendelea kujiimarisha katika uongozi wa msimamo wa ligi kuu ya England baada ya kuifunga Everton kwa 1-0 katika mchezo uliocheza katika dimba la Stamford Bridge. Goli la Chelsea…
Video: Hiki ndicho walichofanywa Barcelona na Real Sociedad jana
FC Barcelona jana ilikumbana na kipigo cha kushtukiza katika mchezo wa la liga dhidi ya Real Sociedad. Katika mchezo huo Sociedad walianza kuliona lango la Barca mapema katika kipindi cha…
VIDEO: Walichokifanya Real Madrid kwenye mechi ya jana pamoja na kumkosa Ronaldo
Pamoja na kumkosa mchezaji wao tegemeo klabu ya Real Madrid jana iliendeleza wimbi la ushindi baada ya kuifumua Elche kwa mabao matatu kwa moja katika mchezo uliopigwa mapema jana jioni.…
Magazeti ya leo Jumapili 23 February 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Matokeo yote ya mechi za Premier League leo Feb22
Ya Arsenal ni mechi ambayo nyavu zilitikiswa kwa mara ya kwanza kwenye dakika ya tano huku Arsenal ikiwa ndio ya kwanza kupata goli. Matokeo mengine ya mechi za leo yako…
Matokeo ya Yanga vs Ruvu Shooting – Mbeya City vs Coastal Union haya hapa
Mabingwa wa Tanzania bara klabu ya Dar Young Africans leo imetoa kipigo cha mbwa mwizi kwa klabu ya Ruvu Shooting katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom uliochezwa uwanja wa…