P Square sasa kwenye ukurasa mmoja na Usher Raymond, Ludacris na T.I
Siku zote ukisikia Mwafrika yeyote kanunua au anamiliki nyumba Marekani au kwenye nchi yoyote iliyoendelea sana duniani, lazima sehemu ya mawazo yako iwe ni fikra juu ya utajiiri alionao. Basi…
Taarifa kamili kuhusu Kuvamiwa kwa mwigizaji Basupa.
Hii ni sehemu ya pili yenye taarifa zaidi kuhusu mwigizaji Basupa kuvamiwa usiku na watu wasiofahamika ambao walimpora. Basupa ameanza kwa kusema>>’Dah mtu wangu yaani mi mwenyewe kwanza nilipagawa kwa…
Yalitangazwa mashindano ya vipaji vya muziki, hawa watoto wakajitokeza
Katika baadhi ya familia watoto wamekua na nafasi ndogo sana ya kusikilizwa na kupewa nafasi ya kufanya kile wanachopenda au kutaka kukifanya kwenye maisha yao. Post hii ni maalum kwa…
Full Time ya Chelsea vs Manchester United.
Ni mechi nyingine iliyotazamwa sana mwaka 2014.
Unaambiwa msanii Jaguar kutoka Kenya alikuja Tanzania na ndege yake binafsi, icheki hapa.
Jaguar msanii wa Kenya anatajwa kama masanii mwenye mafanikio kwenye muziki na kwenye biashara binafsi. Jaguar pamoja na team yake walikuja Dar kwa ajili ya promotion ya wimbo wake mpya…
Ukweli juu ya Collabo ya Ney wa Mitego na Madee uko hapa.
Mbali na kuwa wanatokea eneo moja la Manzese wamewahi kutangazwa kuhusu kuwa na uhasama kwa muda mrefu sana ambapo pia ilifikia kipindi mpaka familia zao zikawa na taarifa juu ya…
Haya ndio mabadiliko yaliyofanywa na Rais kwenye baraza la Mawaziri
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- OFISI YA RAIS Hakuna mabadiliko. OFISI YA MAKAMU…
Ule wizi wa Kizamani warudi tena
Kwa mwaka 2014 inawezekana ikawa ni tukio la kwanza kumtokea msanii aliyekua mshiriki kwenye tamthilia ya jumba la Dhahabu msanii Basupa kuhusu kuvamiwa kupigwa na kuporwa baadhi ya vitu vyake.…
Alichokiandika Florah Mvungi kuhusu mapenzi ya Diamond na Wema
Uhusiano wa Diamond na Wema umeonekana kurudi kwa kasi hasa baada ya party iliyofanyika December 25 2013 pale Leaders na kuwahusisha Watoto mbalimbali kusherehekea xmas na Diamond mwenyewe. Siku hiyo…