Huu ndiyo wimbo mpya wa Mangwea uliotoka leo February 14.
Huu ni wimbo uliopata baraka ya Mama mzazi wa Mangwea kwa kuitambulisha rasmi leo February 14 kwenye XXL ya Clouds Fm,miongoni mwa vitu alivyovizungumza mama wa mangwea kwenye interview yake…
Taarifa ya sakata la wanaume kugundulika kuichezea timu ya taifa ya Iran ya wanawake
Wanasoka wenye jinsia ya kike nchini Iran hivi sasa wanatakiwa kabla ya kushiriki kwenye mechi za mchezo huo kufanyiwa vipimo vya kugundua jinsia – hatua hii imekuja baada ya wanasoka…
Kauli ya Juan Mata kuhusu nafasi anayochezeshwa na David Moyes
Mchezaji ghali zaidi kuwahi kununuliwa na klabu ya Manchester United, Juan Mata amesisitiza kwamba ana furaha kucheza kwenye sehemu wowote uwanjani atakayopangwa na mwalimu wake na amebakia mtu mwenye furaha tangu alipojiunga…
Hii ni mpya kuhusu sakata la usajili wa Neymar FC Barcelona
Uchunguzi unaoendelea wa sakata la usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil Neymar kwenda Barcelona umesimamishwa baada ya FIFA kukataa kuwasilisha baadhi ya vielelezo kwa ajili ya kesi hiyo kuendelea.…
Unaambiwa Beyonce ataingiza fedha hizi kupitia Mrs Cater Show World Tour
Beyonce anategemea kutengeneza kiasi cha dola millioni 200 mpaka kufikia wakati tour yake ya Mrs Carter Show itakapofikia tamati baadae mwaka huu, hii ni kwa mujibu wa kituo cha Televison…
Hili ni ombi la Mama Mangwea kwenda kwa Maproducer wote.
Albert Mangwea ni miongoni mwa wasanii wanaoaminika kuwa na nyimbo nyingi sana ambazo bado hazijatoka,wakati wa kumbukumbu ya kifo cha Mangwea Morogoro iliyofanyika November 2013 Millardayo.com iliongea na familia yake…
Umesikia kuhusu Mavoko kukimbia na mashuka ya hotel?sikiliza hapa
Week end iliyopita Mavoko na Shettah walienda kufanya show Mtwara miongoni mwa vitu vilivyotokea kwenye hotel waliyolala ni kuhusu kuondoka na mashuka ya hiyo hotel taarifa hizi anazi-amplify Soud Brown…
Sikiliza Hekaheka ya leo February 14.
Kupitia Hekaheka za leo February 14 utamsikiliza Dokta wa yule mtoto aliyebakwa,pia utasikiliza kilichomtokea yule Housegirl aliyetoroka kwa muajiri wake,sikiliza kupitia 88.5 Clouds Fm Morogoro. Bonyeza play kusikiliza.
Jiandae kupokea zawadi ya Valentine kutoka kwa Albert Mangwea.
Pengine unaweza kushtuka kusikia kuna wimbo mpya wa Mangwea unaachiwa leo February 14,hupaswi kushtuka kwa hili maana kama utakua na kumbukumbu nzuri mwaka jana Albert Mangwea alitangaza kutoa wimbo mpya…
Sikiliza hapa Penzi la Quick Rocker leo February 14.
February 14 inazidi kupata baraka kwa baadhi ya wasanii kuachia nyimbo zao,mmoja wapo ni huyu kutoka 87.8 Mbeya City Quick Rocker humu kashirikishwa Ben Pol ambaye leo anaachia wimbo wake…