Hii ni kalamu ya Nikki wa II.
Hii makala imeandikwa na rapper Nikki wa II, ukishaisoma unaweza kusema chako chochote… Anaanza kwa kuuliza >>>> thamani ya sanaa ni KIKIII? ? ? Nakutana na wasaniii wachanga wengi, Kwenye…
Baada ya kuonana na Waziri Mkuu,Hili ndilo walilozungumza wafanyabiashara wa Tanzania leo February 13.
Kuhusu Suala la mashine za Efd bado linazidi kuchukua headline,taarifa ikufikie kuwa jana February 12 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Mizengo Pinda alikutana na viongozi wa Jumuiya…
Kama una Nyumba ya kulala wageni Dodoma,Hii inakuhusu.
Taarifa kutoka Dodoma naambiwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME (SACP) amewataka wamiliki wa Hotel na Nyumba za kulala wageni (Guest House) kuhakikisha…
Huyu ni mtoto mwingine aliyebakwa jijini Dar es salaam,sikiliza hapa Hekaheka ya leo.
Bado kumezidi kuongezeka kwa matkio mbalimbali ya unyanyasaji wa Kijinsia kwa watoto wadogo ambapo leo kupitia Hekaheka ya leo na taarifa ya mtoto mwingine aliyebakwa,sikiliza kupitia 104.4 Clouds Fm Dodoma.…
Umesikiliza kuhusu kurushiwa makopo kwa Ney wa Mitego?sikiliza hapa.
Leo kupitia You Heard Sod Brown ana-amplify taarifa zinazomhusu Ney wa Mitego kwa kile kinachoelezwa kurushiwa makopo kwenye moja ya show zake za hivi karibni,sikiliza kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya.…
Kwa mnaofatilia ishu ya Okwi, hii ndio stori mpya kwa sasa.
Emmanuel Okwi ambae ni mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda aliyesajiliwa na klabu ya Yanga, ameruhusiwa rasmi kikiwa ni kibali kutoka shirikisho la soka duniani (FIFA) kushiriki kuichezea timu yake ya…
Mwanasoka mkenya azungumzia uchawi kwenye soka la Tanzania
Mlinzi wa kimataifa wa Kenya, Jockins Atudo, ambaye amerejea kwao kujiunga na Tusker FC baada ya kucheza kwa msimu mmoja katika klabu ya Azam FC, amezungumzia suala la uchawi katika…
Magazeti ya leo February 13 2014, Udaku, Michezo na Hardnewz
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Hii ni Kauli ya Zitto Kabwe kuhusu madai ya Wafanyabiashara na TRA.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chadema Zitto Kabwe muda mfupi uliopita kupitia kwenye ukurasa wake wa Facebook ametoa yake ya moyoni kwa hili seke seke linaloendelea nchini juu Wafanyabiashara na…