Picha hizi ndio zimehalalisha hii stori ya Lil Kim.
Mwaka huu July Lil Kim atatimiza miaka 40 ya kuzaliwa kwake lakini wakati akisubiria hiyo miezi kutimiza 40, stori yake kubwa kwa sasa ni kuonekana kuwa mjamzito. Japokua hajawahi kusema…
Huu ni muendelezo wa Hekaheka kuhusu yule mtoto aliyebakwa.
Hii ilianza jana February 11 kama uliimis ipo hapa hapa on millardayo.com ni kuhusu mtoto aliyebakwa kutoka taarifa ambazo zina utata na mchanganyiko unaowachanganya ndugu sikiliza kupitia 88.5 Clouds Fm…
Baada ya Migomo ya Wafanyabiashara,Hili ndilo tamko la TRA.
Kufuatia migomo inayoendelea kwa Wafanyabiashara wa Mikoa mbali mbali ya Tanzania,Mamlaka ya Mapato Tanzania leo wametoa tamko lao juu ya hali hii ambayo kiukweli inawanyima huduma wananchi wa mikoa iliyo…
Hiki ndicho walichokisema Madee na Nuh Mziwanda juu ya uhusiano wao na Shilole.
Kuna stori ziliwahi kutoka kuwa Shilole ana mahusiano ya kimapenzi na Nuh Mziwanda,sasa Madee nae kazungumza kitu na hii ni baada ya kusemekana kuwa Shilole kamuacha Nuh Mziwanda kwenda kwenye…
Kama ulim-mis Ray C kwenye uimbaji hii hapa kauli yake kwako.
Tangu itoke taarifa ya Ray C kuwa sawa kiafya Watanzania wengi na mashabiki wanatamani kumuona Ray C akiwa jukwaani ama wimbo wowote mpya toka kwake,kama nawe hili lilikua swali lako…
Picha za utengenezwaji wa video ya wimbo wa World Cup 2014
Wasanii Jeniffer Lopez na Pitbul jana wameshoot video ya mpya ya wimbo maalum wa kombe la dunia 2014 “We Are One” nchini Brazil.
Hii ni nafasi yako kusikiliza wimbo mpya kutoka kwa P Square
[soundcloud soundcloudurl=”https://soundcloud.com/xxl23/p-square-taste-the-money” ]
Wale wa Director Nisher hii inawahusu.
Ukizungumza jina la Director Nisher sasa hivi kwa mdau yoyote wa muziki anaweza asione kama jina geni kwake na hii ni baada ya kuingia rasmi kwenye sekta ya uongozajiwa video…
Taarifa za ajali ya ndege iliyoua watu 77
Ilitoka ripoti kuwa ndege hiyo ilikuwa na watu 103 lakini maafisa wa ulinzi walitangaza tena kwamba ilikuwa na watu 78. Ajali hiyo ambayo mtu mmoja tu ndiyo amenusurika na anapata…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redion leo February 12.
Naomba kukuunganisha moja kwa moja kusikiliza Magazeti yakisomwa na Kuchambuliwa kupitia kipindi cha Power Breakfast,Magazeti haya kwa leo yanachambuliwa na Gerald Hando sikiliza kupitia 89.3 Clouds Fm Kigoma. Bonyeza play…